Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,195
- 4,551
Naombeni maelezo ya kina nataka kua msafi kwa kuondoa mapele yote usoni baada ya kunyoa
BEI GANI mkuuNimeenda kuulizia kwa mhindi mmoja nikamwambia Swabat akadai haijui nikamuonesha picha akasema inaitwa Shabu kibongo bongo, kumbe ni Shabu mkuu, kama ni hiyo basi inapatikana hata masokoni huko. Shabu
Jero jero kwa gram ngapi sijui me nimeshasahau lakini shabu inapatika madukani na masokoni mkuuBEI GANI mkuu
Naombeni maelezo ya kina nataka kua msafi kwa kuondoa mapele yote usoni baada ya kunyoa