Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,985
- 12,707
Leo asubuhi nawahi zangu kwenye majukumu ya kila siku nimekumbwa na balaa.
Nilipokuwa napanda katika daladala ghafla suruali ikaachia(ikatatuka) kuanzia usawa wa maungio ya miguu mpaka usawa zip inapoanzia. Mbaya zaidi nilikuwa nimechomekea, sikushuka hadi kituo cha mwisho konda aliponiazima sare yake nikavaa kwa muda wakati fundi akinirekebishia hii iliyotatuka
Hata ofisini sikuenda tena.....
Nilipokuwa napanda katika daladala ghafla suruali ikaachia(ikatatuka) kuanzia usawa wa maungio ya miguu mpaka usawa zip inapoanzia. Mbaya zaidi nilikuwa nimechomekea, sikushuka hadi kituo cha mwisho konda aliponiazima sare yake nikavaa kwa muda wakati fundi akinirekebishia hii iliyotatuka
Hata ofisini sikuenda tena.....