NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,275
hhaaaaaaaaa eti ukavu lol
siku hizi hata vijana wa kiume mi ka niko karibu lazima nimtizame huyo anaeagiza chips yai yukoje yukoje
tuongee tu ukweli Heaven most african guys vyakula vilivozoeleka ni ugali, nyama, chips, samaki, list inaisha labda asubuhi vyapati maandazi, hata body builders bongo wana diet za ovyo ndo maana badala ya kupata miili ile imejikata vzr wanakua na kama kakitambi flani hvi na matiti, very awkward to a guy... girls nao mazoezi zero kabisaaa, wanajazia matumbo tu...
unategemea kuwe na balance gani hapo kwenye game? ukija nje napo wanaotumia steroids kujenga miili huko chini zinakata sana game hawapeleki kabisa.. ila kuta mdada anajenga mwili natural tumbo halipo, na mkaka mwili anaujenga natural kwa kula natural foods kama chicken breasts, game lazima liende na liwe balanced na kila moja anatoka karidhika.... hizi kelele humu kulaumu wakaka wakibongo ts nonsense wakati hata girls nao miili yao hawaijui vzr na hawako balanced, who said game liwe controlled na a guy peke yake, dats being lazy inatakiwa girl nae atumie energy kidogo, ajaribu kwenda na rythm sio kulala flat tu na kulialia utasema tuko msibani