Suphian Juma
Senior Member
- Apr 2, 2019
- 140
- 579
Wanaonipigia kelele na wenye mawazo potofu ya kwamba nimehamia CCM kwasababu ya Mtu na kwamba najutia maamuzi yangu;
Sikieni: Kilichonivutia kuingia CCM ni UIMARA WA TAASISI chini ya utendaji mzuri wa Taasisi za Chama na Urais/Serikali zilizoongozwa na Jemedari Magufuli na wasaidizi wake imara akina Mama Samia.
TAASISI ZOTE BADO ZIPO HAI, Legacy yake JPM ipo hai; na kikubwa zaidi tuna Rais makini Mama Samia anayebeba matumaini makubwa ya Watanzania.
NAJIVUNIA NA NITAENDELEA KUJIVUNIA CCM NA SERIKALI ZAKE ambazo zinaendelea kuwaletea WATANZANIA WOTE maendeleo yasiyomithilika.
RIP Magufuli, God bless Rais Samia na Tanzania.
Suphian.
Sikieni: Kilichonivutia kuingia CCM ni UIMARA WA TAASISI chini ya utendaji mzuri wa Taasisi za Chama na Urais/Serikali zilizoongozwa na Jemedari Magufuli na wasaidizi wake imara akina Mama Samia.
TAASISI ZOTE BADO ZIPO HAI, Legacy yake JPM ipo hai; na kikubwa zaidi tuna Rais makini Mama Samia anayebeba matumaini makubwa ya Watanzania.
NAJIVUNIA NA NITAENDELEA KUJIVUNIA CCM NA SERIKALI ZAKE ambazo zinaendelea kuwaletea WATANZANIA WOTE maendeleo yasiyomithilika.
RIP Magufuli, God bless Rais Samia na Tanzania.
Suphian.