Suphian Juma: Nimeng'atuka ACT Wazalendo

Suphian Juma: Nimeng'atuka ACT Wazalendo

Naunga mkono hoja , kuanzia sasa Zitto Kabwe na Maalim Seif na Act ni wasaliti wa watanzania hawafai hata kwa kulumangia .
Watanzania wapi unaowazungumzia? Wewe na shangazi yako labda. Sisi tuko bega kwa bega na Msukuma
 
umeandika maneno meengi ila cjaelewa point yako n nn.
Kwan harakati zpo katka mlengwa gan kama sio siasa...?🚮
🚶🚶🚶
Sawa....

Kwa hiyo hivi vikundi vya WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINADAMU nao ni wanasiasa ee?!!

Usiku mwema!
 
Safi sana maamuzi sahihi wakati sahihi

Kuna mtu Hadi kaliwa kiboga huko Zanzibar kumtetea maalimu na video yake ikasambazwa mtandao .

Leo maaalim anamkubali uhanithi .

Wasipo kuelewa Leo watakuelewa baadae
 
Safi sana maamuzi sahihi wakati sahihi

Kuna mtu Hadi kaliwa kiboga huko Zanzibar kumtetea maalimu na video yake ikasambazwa mtandao .

Leo maaalim anamkubali uhanithi .

Wasipo kuelewa Leo watakuelewa baadae
 
Hongera sanaa mkuu hakika umeonesha kupevuka Sana,waache hao walotekgeneza jina kubwa kwa shida wanakuja kuharibu mwishoni hakika nmeamini Seif ni kitengo mamaqe na maishani usije kumuamini mtu kutoka kigoma
 
Mkuu ukitaka ucheke, muulize akupe tofauti ya mwanasiasa na mwanaharakati. Slaa wakati yuko cdm alikuwa anaitwa mwanaharakati, ila baada ya kuondoka cdm, sasa kila mwanaccm anampaka Slaa mafuta kwa mgongo wa chupa kuwa alikuwa mwanasiasa wa kweli, kwa sababu tu kwa sasa Slaa hawakosoi tena ccm!
Ni Yale yale ya Lowassa CCM na Lowasaa CHADEMA.

Wanasiasa wanjua wanachokitaka.

Ninyi blind followers hamjielewi, ni wapumbavu
 
Maalim kukubali kuwa makamu wa rais hakumaanishi amekubali matokeo ya uchaguzi.kila mtu anajua ccm waliiba kura na kutengeneza kura feki.
Ila Nani wa kuwahukumu ccm?.
Kwanini mzee maalim Aendelee kuishi kwa presha wakati nafasi ipo?
Mandela alishawishiwa kupewa nafasi kubwa kwenye Serikali ya makaburu lakini alikataa.
 
Kwenyé siàsa mtu akifanya maamuzi kama haya,mimi hufikiria haya;Lililofanyika Halijamnufaisha mtoa maamuzi haswa kipesa na kiumaarufu.

Huwa najiuliza 'Endapo viti maalumu ingekuwa ni wanaume, je Chadema wale top leaders wangesusia nafasi au wangechaguana!?
Hivi unafikiri Lisu au Mbowe akitaka ubunge au nafasi katika Serikali ya Magufuli, ataikosa? Tena Magufuli atawapa haraka sana na kwa furaha kubwa.

Lakini hawawezi kufanya hivyo kwa sababu kuna kitu wanachokisimamia.
 
Ni Yale yale ya Lowassa CCM na Lowasaa CHADEMA.

Wanasiasa wanjua wanachokitaka.

Ninyi blind followers hamjielewi, ni wapumbavu

Hivi unatuona sisi ni wajinga sana wala hatujui lolote, ama unadhani hao wanasiasa wanaweza kufanya lolote bila sisi kugundua janja janja yao? Inaonekana umebeba lugha za jumla jumla, ndio maana unakuja na maelezo ya kukariri.
 
Kukimbia chama sio suruhisho la tatizo.
Katika demokrasia za vyamani, kuna njia tatu.

1. Kukubaliana na maamuzi ya wenzako walio wengi/ wakubwa wako chamani.

2. Kukakataa maamuzi hayo na kujenga ushawishi kutoka ndani ili yabadilishwe

3. Kuona kwamba hukubaliani na maamuzi, na huna ushawishi wa kuyabadilisha, na hivyo, kujitenga na maamuzi hayo kwa kujiuzulu.

Huyu mwamba, kwa uandishi huu, kaona

1.Maamuzi hakubaliani nayo.

2. Hawezi kujenga ushawishi wa kuyabadili maamuzi

3. Jambo pekee la kufanya ni kujitenga na maamuzi hayo kwa kujiuzulu, ili hata siku ikitokea hukumu juu ya maamuzi hayo, aweze kusema aliyapinga na kutengana nayo.

Namuunga mkono, kwa sababu.

1. Ni haki yake ya kikatiba.

2. Maamuzi yana logical consistency. Haiyumkiniki useme uchaguzi si halali, halafu ukubali cheo unachopewa na mtu ambaye unasema hakushinda katika uchaguzi halali. Hii ni contradiction.

3.Ana expose undumilakuwili wa vyama vya upinzani Tanzania.
 
Hongera sana Suphian.

Binadamu aliyekamilika kichwani ni lazima ajitambulishe kwa kile anachokiamini, na katika hicho awe tayari kukipigania. Na hata asipokipata wakati wa uhai wake lakini njia aliyoianzisha itatumika kuwafikisha watakaokuja,kule alikotaka afike.

Mkwawa alipigana na Wajerumani, hakuwashinda. Isike alipigana na Wajerumani, hakuwashinda. Chabruma alioigana na Wajerumani, hakuwashinda. LAKINI njia walioitengeneza mashujaa hawa wa mwanzo, ndiyo ilifuatwa na akina Nyerere, Kawawa, Bibi Titi, n.k. hata kutuletea uhuru, miaka mingi baadaye tangu vifo vya mashujaa wa kale.

Tunaoamini kuwa Tanzania inatakiwa iongozwe vizuri, iheshimu haki za raia, iheshima haki ya watu kutoa maoni yao ikiwa ni pamoja na kukosoa, ijenge na kuheshimu misingi ya demokrasia, na juu ya yote iwe na katiba nzuri na inayoheshimiwa na kila raia, tuendelee kupigania kupatikana kwa Tanzania ya namna hiyo bila ya kujali itapatikana sasa, miaka 10 ijayo au 20 ijayo, iwe wakati tukiwa hai au tukiwa hatupo Duniani, Tanzania ya namna hiyo, ni lazima ipatikane maana hiyo ndiyo itakayotengeneza Tanzania ya kistaarabu.
 
Wengi wetu pia hatukubaliani na uamuzi lakini hatung'atuki sababu tunajenga umoja wa chama chetu. Na wameeleza wazi viongozi kuwa hatukubaliani lakini tunaafikiana yuwemo kwenye baraza ili kuzona na kujuwa mapema malengo ya hawa vitimba kwiri. Si lazima tukubaliane na kila maamuzi ya chama .
 
Mhhh hukupata uteuzi tu huna lolote. Mpinzani wa kweli atoke Singida? Acha maigizo
 
Sisi watanzania wala hatujaumia ndio kwanza tunakenua meno kufurahia SUKI. Sijui unawasemea watanzania gani
 
Back
Top Bottom