Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,190
- 162,701
Hongera sana!
Chonde Chonde Log On Mkuu.Safi sana
Nalog off
Hao wapewe tu, chadema ina support yetu ya kutosha, kwa kura halali watazoa viti vya kutosha. Wasikubali kupewa vyeo vya mbeleko, wakati wana ushawishi wa uhakika toka kwetu wananchi.Haahaa vyeo vinawamaliza Sana wapinzani, Kuna tetesi pia zitto anaandaliwa ubunge wa vitu maalumu vya rais pia na jemsi mbatia..
umeandika maneno meengi ila sijaelewa point yako ni nini.Mkuu unaleta UANAHARAKATI katika mbio za SIASA ?!!
Ninyi ndio mnaowachanganya wafuasi wenu kwa KUWADHANISHA ya kwamba MAMBO YENU siasani ni sawa na zile harakati za akina Ralph Abernathy,Fannie Lou Hamer,Desmond Tutu na wengineo...
Hivi mnashindwaje kuwa kama wanasiasa wa Kenya akina Raila Odinga,Kenyatta,Musalia Mudavadi Rutto na wengineo...?!!!
Ama hao ni "wanafiki"?!!
Ama hao si WANASIASA wa kweli bali "vibaraka na wachumia tumbo"?!!!
Leo hii mnataka mfanye LOBBYING ZA KIHARAKATI na si za KISIASA ndani ya VYAMA VYA SIASA.....
Boutrous Boutrous Ghali(former UN SG) alipata kusema "ONLY STUPID PEOPLE DO NOT CHANGE THEIR MINDS"
Endeleeni kusubiri UJIO wa VYAMA MALAIKA kutoka MBINGUNI.....
Kijana Muuza Al Kasus
Tandale
Usitake kujifanya mnatukanwa, kila siku tunakutana humu humu hakuna anayekutukana zaidi ya kupewa maoni yasiyokufarahisha. Kama ni matusi basi ni machache sana, tena ya pande zote.Vijana wakiwa wakiwa kwenye keyboards huku wakiendelea kuwatukana wana ccm huwa wanajiona wameshakuwa kina Mandela!
Haahaa kweli, Safari hii ameona akale naye kidogo na ving'ora piaMaalim Seif akiwa CUF aliivyosusia uchaguzi wa Jecha mwaka 2015 alipata faida gani.
umeandika maneno meengi ila cjaelewa point yako n nn.
Kwan harakati zpo katka mlengwa gan kama sio siasa...?🚮
🚶🚶🚶
Haahaa ndo malengo Yao yametimia, subiri zitto ateuliwe kuwa mbunge wa rais uoneNaunga mkono hoja , kuanzia sasa Zitto Kabwe na Maalim Seif na Act ni wasaliti wa watanzania hawafai hata kwa kulumangia .
Kuna taarifa/tetesi kuwa ijumaa Magufuli atamteua kigogo mmoja mkubwa sana kutoka Chadema kuwa mbunge na kigogo huyo atakubali uteuzi huo!😭😭😭
View attachment 1644116
Mkuu kwa akili yako hivi chadema hii inakuwa?
Maendeleo yana vyama.Chama khanithi cha CCM hakiwezi kuleta maendeleo yoyote yaleMaendeleo hayana vyama
Mungu ibariki Tanzania