Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,744
- 5,769
Anaenda wapi?Haya safari njema.kila la KHERI huko uendako.
Anaenda wapi?Haya safari njema.kila la KHERI huko uendako.
Kwa sasa upinzani halisi ni CHADEMA tu. Wanaishi katika kile wanachokisema na kukiamini.
CHADEMA wanasema kilichofanyika October, 2020 ni uchafuzi uliovuka mipaka yote ya kidemokrasia toka kuwepo kwa taifa la Tanzania. Na wamesimamia hicho hicho mpaka sasa.
🤣🤣🤣Nmefurahishwa kuona kijana una msimamo
...akuje Lumumba...Anaenda wapi?
Vikifa si ndiyo faida yenu ccm kwanini uteseke na self suicide ya adui yako ?Endeleeni tu kuisaidia ccm kuuwa vyama vyenu, hakuna mapimbi wa kuja kuvisimamisha tena ndio vinakufa hivyoo,
Bali ni kuongeza tatizoKukimbia chama sio suruhisho la tatizo.
Dah! Wakikuelewa hawa!?Mna safari ndefu ya KUJIFUNZA SIASA ZA UHALISIA zaidi ya hizi zenu za HISIA....
Mnapenda sana kurahisisha SIASA za upinzani kwa vigezo vyepesi vya "kiimani" yaani ni kama vile mnawaaminisha WAFUASI wenu kuwa "mnafanya utukufu na ukombozi" kama ule wa KIZAYUNI...jambo ambalo si kweli katika SIASA HIZI ZA VYAMA....
Mwenzenu Rais Etienne Tshisekedi anaamua kuvunja MAHUSIANO na chama cha akina mh.Kabila....kwani WANACHOKIANGALIA na KUKITANGULIZA si "IMANI" bali FACTS za LOBBYING......
Ninyi mnalialia na kukata TAMAA khaaaaa.......
Ambapo inazidi kuthibitisha kwamba siyo chama bali ni kampuni binafsi ya biasharaHongera kwa uamuzi makini; ila bado najiuliza hili linawezekana vipi mahali tulipoambiwa uamuzi ule umefikiwa na wanachama wote kwa asilimia zote?
Hili linathibitisha wanachama wameburuzwa kufikia uamuzi ule.
Hapohapo! Usibadili mada mkuuKwenyé siàsa mtu akifanya maamuzi kama haya,mimi hufikiria haya;Lililofanyika Halijamnufaisha mtoa maamuzi haswa kipesa na kiumaarufu.
Huwa najiuliza 'Endapo viti maalumu ingekuwa ni wanaume, je Chadema wale top leaders wangesusia nafasi au wangechaguana!?
KINA HALIMA NA WALE 18 WALIFUKUZWA KISANII KUTULIZA KELELE ZA MASHABIKI WENYE MIHEMKO WA MITANDAONIKwa sasa upinzani halisi ni CHADEMA tu. Wanaishi katika kile wanachokisema na kukiamini.
CHADEMA wanasema kilichofanyika October, 2020 ni uchafuzi uliovuka mipaka yote ya kidemokrasia toka kuwepo kwa taifa la Tanzania. Na wamesimamia hicho hicho mpaka sasa.
Makamba Snr ?Heshima na tamaa havikai nyumba moja,mimi nimechagua heshima ndio maana unaniona hapa - Makamba Snr.
Dunia ni kijiji mkuuUmenifurahisha hapo uliposema unaomba dunia itambue..... really?
Good luck