Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
Naomba msaada wa haraka wadau. Hivi ni sumu gani ya kuua huyu ndege mweusi kama lami na mwenye laana kubwa?
Hawa ndege ni wasumbufu sana kupita maelezo na wanakiburi sana kisicho na mashiko yoyote. Yote kwa yote ni ndege wenye kisasi sana pale wanapogundua umejaribu kuwadhuru au kuwashambulia.
Changamoto ni hapa kwenye eneo ninaloishi upande wa pili kuna mnazi wameweka kiota hapo sasa wamekuwa wasumbufu sana kwa fujo za kuchafua mazingira wanaweza toka na matakataka wameokota huko wanakuja kutupa eneo hili. Au wanaweza parua mtu bila sababu. Tunashindwa kuanika vitu kwa amani kama nguo nyeupe wanazichafua kusudi kabisa.
Wanaweza anzisha fujo juu ya paa asubuhi wakiwa wengi. Ni kero juu ya kero.
Nani anayefahamu sumu ya haraka. Maana nimejaribu kuharibu kiota chao zaidi ya mara tatu ila wanatengeneza kipya. Na nimeona wapo jike na dume ndio wamekomaa.
Sasa muda huu ni kama wamenijua wakiniona tu wanaanza kuitana kwa kelele na kujazana as if kuna mkutano wa kijiji na kufanya fujo.
Sasa nadhani natakiwa kuweka sumu niuwe huyu bibi na bwana kwenye kiota ili biashara ife. Ningeweza kukata mnazi ila sasa upo kwa jirani na jirani mwenyewe ni wale wa mama sio waelewa. Atasema mnazi unamsaidia nazi na madafu.
Naombeni ushauri wa haraka sana.
Hawa ndege ni wasumbufu sana kupita maelezo na wanakiburi sana kisicho na mashiko yoyote. Yote kwa yote ni ndege wenye kisasi sana pale wanapogundua umejaribu kuwadhuru au kuwashambulia.
Changamoto ni hapa kwenye eneo ninaloishi upande wa pili kuna mnazi wameweka kiota hapo sasa wamekuwa wasumbufu sana kwa fujo za kuchafua mazingira wanaweza toka na matakataka wameokota huko wanakuja kutupa eneo hili. Au wanaweza parua mtu bila sababu. Tunashindwa kuanika vitu kwa amani kama nguo nyeupe wanazichafua kusudi kabisa.
Wanaweza anzisha fujo juu ya paa asubuhi wakiwa wengi. Ni kero juu ya kero.
Nani anayefahamu sumu ya haraka. Maana nimejaribu kuharibu kiota chao zaidi ya mara tatu ila wanatengeneza kipya. Na nimeona wapo jike na dume ndio wamekomaa.
Sasa muda huu ni kama wamenijua wakiniona tu wanaanza kuitana kwa kelele na kujazana as if kuna mkutano wa kijiji na kufanya fujo.
Sasa nadhani natakiwa kuweka sumu niuwe huyu bibi na bwana kwenye kiota ili biashara ife. Ningeweza kukata mnazi ila sasa upo kwa jirani na jirani mwenyewe ni wale wa mama sio waelewa. Atasema mnazi unamsaidia nazi na madafu.
Naombeni ushauri wa haraka sana.