View attachment 2418563
Ni hao hapo juu au wa kwako wapo vipi ?...,
Mimi huku wapo wachache na wanafanya kazi yao katika ecosystem ipasavyo kwa kula mizoga ya hapa na pale..., wala hawana shida..
Unajua sometimes nawaza labda binadamu ndio virusi..., kuna mdau alikuja eti tumbili wanamsumbua kwenye shamba lake na nyumba yake, nilivyofanya research kumbe yeye ndio kawavamia kwenye makazi yao...
Nadhani hawa viumbe wengine kama wangeweza kukaa na kujadari mustakabali wa maisha yao wangetuona sisi binadamu kama virusi tu (yaani mchanyato wa Corona na Ukimwi)