Sumu ya kuua kunguru ni ipi?

Sumu ya kuua kunguru ni ipi?

Dawa manati tu ukiwapiga siku moja wanahama wote hua wanaiogopa sana
 
Naomba msaada wa haraka wadau. Hivi ni sumu gani ya kuua huyu ndege mweusi kama lami na mwenye laana kubwa?

Hawa ndege ni wasumbufu sana kupita maelezo na wanakiburi sana kisicho na mashiko yoyote. Yote kwa yote ni ndege wenye kisasi sana pale wanapogundua umejaribu kuwadhuru au kuwashambulia.

Changamoto ni hapa kwenye eneo ninaloishi upande wa pili kuna mnazi wameweka kiota hapo sasa wamekuwa wasumbufu sana kwa fujo za kuchafua mazingira wanaweza toka na matakataka wameokota huko wanakuja kutupa eneo hili. Au wanaweza parua mtu bila sababu. Tunashindwa kuanika vitu kwa amani kama nguo nyeupe wanazichafua kusudi kabisa.

Wanaweza anzisha fujo juu ya paa asubuhi wakiwa wengi. Ni kero juu ya kero.

Nani anayefahamu sumu ya haraka. Maana nimejaribu kuharibu kiota chao zaidi ya mara tatu ila wanatengeneza kipya. Na nimeona wapo jike na dume ndio wamekomaa.

Sasa muda huu ni kama wamenijua wakiniona tu wanaanza kuitana kwa kelele na kujazana as if kuna mkutano wa kijiji na kufanya fujo.

Sasa nadhani natakiwa kuweka sumu niuwe huyu bibi na bwana kwenye kiota ili biashara ife. Ningeweza kukata mnazi ila sasa upo kwa jirani na jirani mwenyewe ni wale wa mama sio waelewa. Atasema mnazi unamsaidia nazi na madafu.

Naombeni ushauri wa haraka sana.
Ukitaka kuharibu kiota chao fanya hilo giza liingiapo wanakukimbia, ukifanya mchana wanaweza kukuhamisha mtaa.
Mara kadhaa serikali ilikuwa ikipewa msaada wa kuwaangamiza lakini badala yake wanaziangamiza pesa za msaada! Nakushauri nunua manati uyatundike kwenye kamba ya kuanikia nguo, watahama.
 
View attachment 2418563
Ni hao hapo juu au wa kwako wapo vipi ?...,

Mimi huku wapo wachache na wanafanya kazi yao katika ecosystem ipasavyo kwa kula mizoga ya hapa na pale..., wala hawana shida..

Unajua sometimes nawaza labda binadamu ndio virusi..., kuna mdau alikuja eti tumbili wanamsumbua kwenye shamba lake na nyumba yake, nilivyofanya research kumbe yeye ndio kawavamia kwenye makazi yao...

Nadhani hawa viumbe wengine kama wangeweza kukaa na kujadari mustakabali wa maisha yao wangetuona sisi binadamu kama virusi tu (yaani mchanyato wa Corona na Ukimwi)
Wewe ni wa bara hauwajui kunguru wa Dar, kunguru hao pichani walimalizwa na hawa kunguru weusi miska ya sitini na pia wamewamaliza ndege wote huku wizara ya mazingira haioni kuwa ni uharibifu na hasara kiwapoteza ndege aina tofauti.
 
Naomba msaada wa haraka wadau. Hivi ni sumu gani ya kuua huyu ndege mweusi kama lami na mwenye laana kubwa?

Hawa ndege ni wasumbufu sana kupita maelezo na wanakiburi sana kisicho na mashiko yoyote. Yote kwa yote ni ndege wenye kisasi sana pale wanapogundua umejaribu kuwadhuru au kuwashambulia.

Changamoto ni hapa kwenye eneo ninaloishi upande wa pili kuna mnazi wameweka kiota hapo sasa wamekuwa wasumbufu sana kwa fujo za kuchafua mazingira wanaweza toka na matakataka wameokota huko wanakuja kutupa eneo hili. Au wanaweza parua mtu bila sababu. Tunashindwa kuanika vitu kwa amani kama nguo nyeupe wanazichafua kusudi kabisa.

Wanaweza anzisha fujo juu ya paa asubuhi wakiwa wengi. Ni kero juu ya kero.

Nani anayefahamu sumu ya haraka. Maana nimejaribu kuharibu kiota chao zaidi ya mara tatu ila wanatengeneza kipya. Na nimeona wapo jike na dume ndio wamekomaa.

Sasa muda huu ni kama wamenijua wakiniona tu wanaanza kuitana kwa kelele na kujazana as if kuna mkutano wa kijiji na kufanya fujo.

Sasa nadhani natakiwa kuweka sumu niuwe huyu bibi na bwana kwenye kiota ili biashara ife. Ningeweza kukata mnazi ila sasa upo kwa jirani na jirani mwenyewe ni wale wa mama sio waelewa. Atasema mnazi unamsaidia nazi na madafu.

Naombeni ushauri wa haraka sana.
Aisee wana kisasi kibaya sana hao viumbe, tumia net ya kunasia ndege kisha tumia nyama yenye sumu
 
Kunguru kudhurika na sumu ni ngumu.
Kunguru Kama wamasai akifa mmoja wote wanahama Hilo eneo hawakai.
 
Wewe ni wa bara hauwajui kunguru wa Dar, kunguru hao pichani walimalizwa na hawa kunguru weusi miska ya sitini na pia wamewamaliza ndege wote huku wizara ya mazingira haioni kuwa ni uharibifu na hasara kiwapoteza ndege aina tofauti.
Basi hawa waamiaji tusiwaite Kunguru wa Dar; wateketezwe haraka tupandikize kunguru wetu wa zamani (African Crow)..., Au kama vipi wataalamu waangalie kama hawana magonjwa watu waanze kuwala supu (wanahitaji predators wa kuwamaliza)
 
Naomba msaada wa haraka wadau. Hivi ni sumu gani ya kuua huyu ndege mweusi kama lami na mwenye laana kubwa?

Hawa ndege ni wasumbufu sana kupita maelezo na wanakiburi sana kisicho na mashiko yoyote. Yote kwa yote ni ndege wenye kisasi sana pale wanapogundua umejaribu kuwadhuru au kuwashambulia.

Changamoto ni hapa kwenye eneo ninaloishi upande wa pili kuna mnazi wameweka kiota hapo sasa wamekuwa wasumbufu sana kwa fujo za kuchafua mazingira wanaweza toka na matakataka wameokota huko wanakuja kutupa eneo hili. Au wanaweza parua mtu bila sababu. Tunashindwa kuanika vitu kwa amani kama nguo nyeupe wanazichafua kusudi kabisa.

Wanaweza anzisha fujo juu ya paa asubuhi wakiwa wengi. Ni kero juu ya kero.

Nani anayefahamu sumu ya haraka. Maana nimejaribu kuharibu kiota chao zaidi ya mara tatu ila wanatengeneza kipya. Na nimeona wapo jike na dume ndio wamekomaa.

Sasa muda huu ni kama wamenijua wakiniona tu wanaanza kuitana kwa kelele na kujazana as if kuna mkutano wa kijiji na kufanya fujo.

Sasa nadhani natakiwa kuweka sumu niuwe huyu bibi na bwana kwenye kiota ili biashara ife. Ningeweza kukata mnazi ila sasa upo kwa jirani na jirani mwenyewe ni wale wa mama sio waelewa. Atasema mnazi unamsaidia nazi na madafu.

Naombeni ushauri wa haraka sana.
Kwa hiyo ukaona uanzishe na Uzi kabisa
 
Basi hawa waamiaji tusiwaite Kunguru wa Dar; wateketezwe haraka tupandikize kunguru wetu wa zamani (African Crow)..., Au kama vipi wataalamu waangalie kama hawana magonjwa watu waanze kuwala supu (wanahitaji predators wa kuwamaliza)
Mbona ni watamu tu ila usiweke viungo vingibkwani vitaiharibu ladha halisi.
 
Ukitaka kuharibu kiota chao fanya hilo giza liingiapo wanakukimbia, ukifanya mchana wanaweza kukuhamisha mtaa.
Mara kadhaa serikali ilikuwa ikipewa msaada wa kuwaangamiza lakini badala yake wanaziangamiza pesa za msaada! Nakushauri nunua manati uyatundike kwenye kamba ya kuanikia nguo, watahama.
Nimeita kijana leo kapanda juu ya mnazi amewashusha watoto wanne. Nimewakung'uta na bomba huku wazazi wao wanatazama.

Nimewatupa hapo barabarani. Ukoo mzima umenijia juu nimeshindwa hata kutoka nje kuosha gari wala kuanika nguo mbwa hawa. Yaani wanajihadi kama taleban....
 
Aisee wana kisasi kibaya sana hao viumbe, tumia net ya kunasia ndege kisha tumia nyama yenye sumu
Sumu gani inafanya kazi. Nimenunua sumu ya panya ya poda nyeusi kama unga wa risasi au penseli. Ila wamekula samaki mwenye sumu wamejilamba midogo kama nimewawekea tu kachumbari.
 
Kunguru kudhurika na sumu ni ngumu.
Kunguru Kama wamasai akifa mmoja wote wanahama Hilo eneo hawakai.
Nimeuwa vitoto vyao vinne leo nikavitupa huku wakishuhudia. Vita wameniletea aiseee yaani ni bifu kali la maana. Walijaaa hadi nikasema hawa ndege sijui nikawachukulie RB polisi maana naona hatuelewani kabisa na hizi fujo wananifanyia zimevuka mipaka ya heshima ya raia.


I hope walivyoona watoto wao nimewaua wanaweza kuondoka na kutorudi tena. Maana nimewachapa na bomba walikuwa kwenye kiota kwenye mnazi hapo jirani ya ukuta wa nyumba ya jirani. Nikamwambia kijana aje kuwashusha amewashusha chini nikawaburuta hadi sehemu ya wazi.

Wazazi wakaja wakawa wanaleta zengwe nikachukua mwamvuli na bomba la maji yale meusi malaini nikaanza watandika wale watoto hadi wakadedi na kutoka damu. Nikawatupa barabarani hapo. Yaani dakika si nyingi walikusanyika hapo nje walileta vagi ambalo sijawahi ona.
 
Basi hawa waamiaji tusiwaite Kunguru wa Dar; wateketezwe haraka tupandikize kunguru wetu wa zamani (African Crow)..., Au kama vipi wataalamu waangalie kama hawana magonjwa watu waanze kuwala supu (wanahitaji predators wa kuwamaliza)
Hawa predator wao ni mwewe na bundi.
 
Back
Top Bottom