Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,793
Wawe mabwana afyaKisa cha kuwaleta
Wawe mabwana afyaKisa cha kuwaleta
awaandikie notice...aseme kiota anataka kuwapangisha njiwaUmeharibu kiota zaidi ya mara 3 wakatengeneza tena hapohapo?
Kwanza naomba kujua ni kiburi gani chenye mashiko😂...Hawa ndege ni wasumbufu sana kupita maelezo na wanakiburi sana kisicho na mashiko...
Ukitaka kuharibu kiota chao fanya hilo giza liingiapo wanakukimbia, ukifanya mchana wanaweza kukuhamisha mtaa.Naomba msaada wa haraka wadau. Hivi ni sumu gani ya kuua huyu ndege mweusi kama lami na mwenye laana kubwa?
Hawa ndege ni wasumbufu sana kupita maelezo na wanakiburi sana kisicho na mashiko yoyote. Yote kwa yote ni ndege wenye kisasi sana pale wanapogundua umejaribu kuwadhuru au kuwashambulia.
Changamoto ni hapa kwenye eneo ninaloishi upande wa pili kuna mnazi wameweka kiota hapo sasa wamekuwa wasumbufu sana kwa fujo za kuchafua mazingira wanaweza toka na matakataka wameokota huko wanakuja kutupa eneo hili. Au wanaweza parua mtu bila sababu. Tunashindwa kuanika vitu kwa amani kama nguo nyeupe wanazichafua kusudi kabisa.
Wanaweza anzisha fujo juu ya paa asubuhi wakiwa wengi. Ni kero juu ya kero.
Nani anayefahamu sumu ya haraka. Maana nimejaribu kuharibu kiota chao zaidi ya mara tatu ila wanatengeneza kipya. Na nimeona wapo jike na dume ndio wamekomaa.
Sasa muda huu ni kama wamenijua wakiniona tu wanaanza kuitana kwa kelele na kujazana as if kuna mkutano wa kijiji na kufanya fujo.
Sasa nadhani natakiwa kuweka sumu niuwe huyu bibi na bwana kwenye kiota ili biashara ife. Ningeweza kukata mnazi ila sasa upo kwa jirani na jirani mwenyewe ni wale wa mama sio waelewa. Atasema mnazi unamsaidia nazi na madafu.
Naombeni ushauri wa haraka sana.
Wewe ni wa bara hauwajui kunguru wa Dar, kunguru hao pichani walimalizwa na hawa kunguru weusi miska ya sitini na pia wamewamaliza ndege wote huku wizara ya mazingira haioni kuwa ni uharibifu na hasara kiwapoteza ndege aina tofauti.View attachment 2418563
Ni hao hapo juu au wa kwako wapo vipi ?...,
Mimi huku wapo wachache na wanafanya kazi yao katika ecosystem ipasavyo kwa kula mizoga ya hapa na pale..., wala hawana shida..
Unajua sometimes nawaza labda binadamu ndio virusi..., kuna mdau alikuja eti tumbili wanamsumbua kwenye shamba lake na nyumba yake, nilivyofanya research kumbe yeye ndio kawavamia kwenye makazi yao...
Nadhani hawa viumbe wengine kama wangeweza kukaa na kujadari mustakabali wa maisha yao wangetuona sisi binadamu kama virusi tu (yaani mchanyato wa Corona na Ukimwi)
Aisee wana kisasi kibaya sana hao viumbe, tumia net ya kunasia ndege kisha tumia nyama yenye sumuNaomba msaada wa haraka wadau. Hivi ni sumu gani ya kuua huyu ndege mweusi kama lami na mwenye laana kubwa?
Hawa ndege ni wasumbufu sana kupita maelezo na wanakiburi sana kisicho na mashiko yoyote. Yote kwa yote ni ndege wenye kisasi sana pale wanapogundua umejaribu kuwadhuru au kuwashambulia.
Changamoto ni hapa kwenye eneo ninaloishi upande wa pili kuna mnazi wameweka kiota hapo sasa wamekuwa wasumbufu sana kwa fujo za kuchafua mazingira wanaweza toka na matakataka wameokota huko wanakuja kutupa eneo hili. Au wanaweza parua mtu bila sababu. Tunashindwa kuanika vitu kwa amani kama nguo nyeupe wanazichafua kusudi kabisa.
Wanaweza anzisha fujo juu ya paa asubuhi wakiwa wengi. Ni kero juu ya kero.
Nani anayefahamu sumu ya haraka. Maana nimejaribu kuharibu kiota chao zaidi ya mara tatu ila wanatengeneza kipya. Na nimeona wapo jike na dume ndio wamekomaa.
Sasa muda huu ni kama wamenijua wakiniona tu wanaanza kuitana kwa kelele na kujazana as if kuna mkutano wa kijiji na kufanya fujo.
Sasa nadhani natakiwa kuweka sumu niuwe huyu bibi na bwana kwenye kiota ili biashara ife. Ningeweza kukata mnazi ila sasa upo kwa jirani na jirani mwenyewe ni wale wa mama sio waelewa. Atasema mnazi unamsaidia nazi na madafu.
Naombeni ushauri wa haraka sana.
Basi hawa waamiaji tusiwaite Kunguru wa Dar; wateketezwe haraka tupandikize kunguru wetu wa zamani (African Crow)..., Au kama vipi wataalamu waangalie kama hawana magonjwa watu waanze kuwala supu (wanahitaji predators wa kuwamaliza)Wewe ni wa bara hauwajui kunguru wa Dar, kunguru hao pichani walimalizwa na hawa kunguru weusi miska ya sitini na pia wamewamaliza ndege wote huku wizara ya mazingira haioni kuwa ni uharibifu na hasara kiwapoteza ndege aina tofauti.
Apparently hawa Kunguru anaowaongelea ni tofauti sio kama hawa wa kwetu wenye baka jeupeKunguru kudhurika na sumu ni ngumu.
Kunguru Kama wamasai akifa mmoja wote wanahama Hilo eneo hawakai.
Kwa hiyo ukaona uanzishe na Uzi kabisaNaomba msaada wa haraka wadau. Hivi ni sumu gani ya kuua huyu ndege mweusi kama lami na mwenye laana kubwa?
Hawa ndege ni wasumbufu sana kupita maelezo na wanakiburi sana kisicho na mashiko yoyote. Yote kwa yote ni ndege wenye kisasi sana pale wanapogundua umejaribu kuwadhuru au kuwashambulia.
Changamoto ni hapa kwenye eneo ninaloishi upande wa pili kuna mnazi wameweka kiota hapo sasa wamekuwa wasumbufu sana kwa fujo za kuchafua mazingira wanaweza toka na matakataka wameokota huko wanakuja kutupa eneo hili. Au wanaweza parua mtu bila sababu. Tunashindwa kuanika vitu kwa amani kama nguo nyeupe wanazichafua kusudi kabisa.
Wanaweza anzisha fujo juu ya paa asubuhi wakiwa wengi. Ni kero juu ya kero.
Nani anayefahamu sumu ya haraka. Maana nimejaribu kuharibu kiota chao zaidi ya mara tatu ila wanatengeneza kipya. Na nimeona wapo jike na dume ndio wamekomaa.
Sasa muda huu ni kama wamenijua wakiniona tu wanaanza kuitana kwa kelele na kujazana as if kuna mkutano wa kijiji na kufanya fujo.
Sasa nadhani natakiwa kuweka sumu niuwe huyu bibi na bwana kwenye kiota ili biashara ife. Ningeweza kukata mnazi ila sasa upo kwa jirani na jirani mwenyewe ni wale wa mama sio waelewa. Atasema mnazi unamsaidia nazi na madafu.
Naombeni ushauri wa haraka sana.


Mbona ni watamu tu ila usiweke viungo vingibkwani vitaiharibu ladha halisi.Basi hawa waamiaji tusiwaite Kunguru wa Dar; wateketezwe haraka tupandikize kunguru wetu wa zamani (African Crow)..., Au kama vipi wataalamu waangalie kama hawana magonjwa watu waanze kuwala supu (wanahitaji predators wa kuwamaliza)
Tatizo hivi viumbe vya msituni uchelewi kujinyakulia virusi vya ajabu ajabu ndio maana nikasema uchunguzi ungefanyika kama tunaweza kuwaongeza kwenye MenuMbona ni watamu tu ila usiweke viungo vingibkwani vitaiharibu ladha halisi.
Walaaa kazima kabisa tena kakubwa tu sema kalikuwa hakaanza tu kurukaHako katoto kao kalikufa?
Nimeita kijana leo kapanda juu ya mnazi amewashusha watoto wanne. Nimewakung'uta na bomba huku wazazi wao wanatazama.Ukitaka kuharibu kiota chao fanya hilo giza liingiapo wanakukimbia, ukifanya mchana wanaweza kukuhamisha mtaa.
Mara kadhaa serikali ilikuwa ikipewa msaada wa kuwaangamiza lakini badala yake wanaziangamiza pesa za msaada! Nakushauri nunua manati uyatundike kwenye kamba ya kuanikia nguo, watahama.





Sumu gani inafanya kazi. Nimenunua sumu ya panya ya poda nyeusi kama unga wa risasi au penseli. Ila wamekula samaki mwenye sumu wamejilamba midogo kama nimewawekea tu kachumbari.Aisee wana kisasi kibaya sana hao viumbe, tumia net ya kunasia ndege kisha tumia nyama yenye sumu
Nimeuwa vitoto vyao vinne leo nikavitupa huku wakishuhudia. Vita wameniletea aiseee yaani ni bifu kali la maana. Walijaaa hadi nikasema hawa ndege sijui nikawachukulie RB polisi maana naona hatuelewani kabisa na hizi fujo wananifanyia zimevuka mipaka ya heshima ya raia.Kunguru kudhurika na sumu ni ngumu.
Kunguru Kama wamasai akifa mmoja wote wanahama Hilo eneo hawakai.
Hawa predator wao ni mwewe na bundi.Basi hawa waamiaji tusiwaite Kunguru wa Dar; wateketezwe haraka tupandikize kunguru wetu wa zamani (African Crow)..., Au kama vipi wataalamu waangalie kama hawana magonjwa watu waanze kuwala supu (wanahitaji predators wa kuwamaliza)