Mr PJ
Senior Member
- Jul 1, 2018
- 103
- 203
Nina miezi miwili toka ninunue simu hii ila inanisumbua kweli kweli. Kuna mda inaweza stuck gafla ikazima. Sasa kubwa zaidi tokea juzi nilisikiliza mziki ikiwa vizuri kuamka asubuhi haitoi tena sauti hata kwa earphones, nimejaribu kureset hamna badiliko lolote. Naomba kwa mwenye kujua tatizo hapo ninini. Ama nirudie tu TECNO yangu maana haikua na mambo hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app