rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
Zile pesa za escrow mlizoiba mmerudisha tayari???
Haina uhusiano na hoja yangu kama vipi anzisha uzi wa kudai hizo pesa, mi namwambia huyu mwizi Sumaye arudishe ardhi za wanyonge.
Zile pesa za escrow mlizoiba mmerudisha tayari???
Tamaa nilianza kuiona kwa sumaye
pale alipokaribia kustaafu
Akafosi na akafanikiwa kujiongezea posho na marupurupu ya wazir mkuu atakapostaafu
Magufuli akiingia tu atarudisha mashamba yote kwenye vijiji...bwana zero ajipange kudadeki...
Kama Sumaye ndio mnayemuona anashusha Nondo basi Ukawa mmeshindwa asubuhi na mapema na hamna timu ya kampeni
Hakuna jitu jinga duniani kama Sumaye, ngoja baada ya oct 25 atakula mavi yake.
Umeona ni kwa kiasi gani ulivyokuwa zwazwa..kwani zile pesa sio za wanyonge???Haina uhusiano na hoja yangu kama vipi anzisha uzi wa kudai hizo pesa, mi namwambia huyu mwizi Sumaye arudishe ardhi za wanyonge.
Eti amehamia upinzani kwa kuwa hawana safu yenye uzoefu na makini kiuongozi,huyo ndio Sumaye katika ubora wake.Hivi ana jambo gani la kujivunia alilofanya kwenye uongozi wake katika nchi hii kushawishi hadhira kuwa ni kiongozi bora.For me he is a bogus one.
Bandiko limesema ni wanufaika wa mfumo wa CCM; kwa nini wanaushambulia? Jibu langu ni kwa vile ni mfumo usio wa haki unaoneemesha ufisadi. Unganisha. Naona Manji na Bakhresa hujawataja.
Wee ndondocha kweli. Kabla ya hapo ulikuwa unamlisha wewe
usishangae ndio maana anaitwa sifuri
Umeona ni kwa kiasi gani ulivyokuwa zwazwa..kwani zile pesa sio za wanyonge???
Nikweli maana baada ya uchaguzi atatwishwa uwaziri mkuu wa hawamu ya tano
hahahahaa Sumaye gani kama ni yule Mr ZERO usijidanganye kijana.....Suma na Edo ni Pwagu na PwaguziMpaka sasa katika timu zote za Wagombea anayeshusha nondo nzuri ni Bwana F.Sumaye,sio kama watu wengine kwenye Kampeni eti nivue shati nisivueeeee!!!!Kifimbo oyeeeee!!!.CCM OUT
Pamoja na ushabiki wote wa kisiasa na kama unazijua siasa hasa za Tanzania, na dunia kote, huwezi kumtukana mtu kiasi hicho hasa mawaziri wakuu waliopita na binadamu yeyote katika medani za kisiasa vingnevyo unatumika na pia huna akili timamu, Tanzania ni nchi ya mfumo wa vyama vingi na hakuna aliyezaliwa kuwa mpinzani na walioko upinzani wote walikuwa na kadi za ccm chama chetu, kila mwanaccm ana haki ya kujiunga na upinzani kama anadhani anaweza kuwatetea watanzania na yy mwenyewe akiwa nje ya ccm au chama chochote cha upinzani na akiwa upinzani au ccm hawezi kusifia kule alikotoka kwani vingnevyo hakuwa na haja ya kutoka chama kimoja kwenda kingne na anayefanya hivyo watanzania wanasema amenunuliwa naahasimu wao.Hakuna jitu jinga duniani kama Sumaye, ngoja baada ya oct 25 atakula mavi yake.
Wala sishangai natambua fika uwezo wa kufikiri wa mwanaccm..hapo ndio mwisho wa uwezo wako wa kufikiri!Una tabia za kike kushupalia mambo.
Kwani yeye Sumaye anawaza tumbo la nani sasa? alisema ccm ikimpitisha fisadi lowasa kuwa mgombea atahama chama! sasa kamfuata huko huko baada ya kununuliwa tena kwa bei ndogo inayomdhalilisha kabisa na yeye ndio amepewa kibarua cha kumsafisha huyo aliyemchafua kwa kumuita fisadi. Lowasa anawachezea akili sana watu wenye njaa kali.
Sumaye aliachwa aendelee japo alikuwa ziro ili kukwepa gharama za kuwalipa mawaziri wakuu wastaafu wengi.Kwa uziro wake hata TAMISEMI ilisitishwa kuwa chini ya PM mpaka lilivoondolewa.