Bakari Shemngodo
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 269
- 40
Oktoba 25 inakaribia
Ni wazi kuwa walifanikiwa kutokana na mfumo huo kutokuwa wa haki na unaoneemesha ufisadi. Huo ndio mfumo walioamua kuusaliti leo hii. Ni wakati wa CCM kujuta kulea wasaliti hao hadi wamefikia hatua ya kukiletea chama kashkash kiasi hiki. Hili ni somo muhimu. Wenzenu wanasema there is no honour among thieves.
huyu jamaa amejidhalilisha sana,amekuwa icon ya unafiki na uchu wa madaraka,atajuta sana baada ya october
Anasimamia mabadilikohuyu jamaa amejidhalilisha sana,amekuwa icon ya unafiki na uchu wa madaraka,atajuta sana baada ya october
usishangae ndio maana anaitwa sifurikwa kweli nimekuwa najiuliza alikuwaje pm kwa miaka 10? Ni mnafiki, mbeya, na muongo.
Eti pale kawe akasema eti sisiemu walituahidi maisha bora ila mpaka sasa bado, kweli? Hii kitu ni ya yeye kusema hivyo? Nimemdharau sana huyu babu. Yeye kawa pm wa sisiemu juzi juzi tu kwa miaka 10, leo anaongea pumba!
Ndivyo mlivyo maccm mnawazaga matumbo yenu tu!Hakuna jitu jinga duniani kama Sumaye, ngoja baada ya oct 25 atakula mavi yake.
huyu jamaa amejidhalilisha sana,amekuwa icon ya unafiki na uchu wa madaraka,atajuta sana baada ya october
Mimi huwa simuelewi anayoyaongea ,mfano akieleza kuwa ccm haijawafanyia kitu wananchi basi miongon wa kuwalaumu ni yeye kwakuwa alikuwa miongoni mwao tena PM ,ndio maana kiongozi mmoja mstaafu akaamua kuwaita malofa, neno
h
alikuwahusu wana chadema wote ,sasa nawao wameamua kujiita hivyo,
huyu jamaa amejidhalilisha sana,amekuwa icon ya unafiki na uchu wa madaraka,atajuta sana baada ya october
huyu jamaa amejidhalilisha sana,amekuwa icon ya unafiki na uchu wa madaraka,atajuta sana baada ya october
Kwa kweli itabidi tushangae pia mtu kma hyu aliwezaje kuwa pm kwa kipindi kirefu hicho
huna hoja full stop..badala yake unacheza mazingaombwe ya ukawa.
Kwa kweli nimekuwa najiuliza alikuwaje pm kwa miaka 10? ni MNAFIKI, MBEYA, na MUONGO.
Eti pale kawe akasema eti sisiemu WALITUAHIDI maisha bora ila mpaka sasa bado, kweli? hii kitu ni ya yeye kusema hivyo? NIMEMDHARAU sana huyu babu. Yeye kawa pm wa sisiemu juzi juzi tu kwa miaka 10, leo anaongea pumba!
huyu jamaa amejidhalilisha sana,amekuwa icon ya unafiki na uchu wa madaraka,atajuta sana baada ya october
Sio amejidhalilisha tu - ni mmoja wa watu waliotupotezea miaka kumi yetu Watanzania. Magufuli akiingia madarakani asiwaache watu kama hawa. Kumbe walivyokuwa madarakani walijua kabisa hakuna wanachokifanya (kama anavyohubiri yeye mwenyewe) - ila waling'ang'ania tu kubebwa na mabenzi na kuchukua mishahara ambayo sisi tunailipia kodi - wakati hakuna wanacho deliver kwa ajili ya Watanzania.
Niliwahi kumsikia akisema kwamba yeye na Mh.Mkapa walikuwa anafanya mambo yao kimya kimya bila ya kuhitisha press conferences au kujitapa tapa,aliongezea kusema watumishi wabovu wengi walikuwa wahachishwa kazi kimya kimya,pamoja na mapungufu ya hapa na pale ya Mh.Sumaye mambo mengine nakubaliana nae - wakati wa uongozi wa Mh.Mkapa Taifa letu lilirudisha heshima na kuweza kuaminiwa tena na wafadhili, mambo ya rushwa lakini hayakuwa na kasi na kiwango cha hivi sasa -hali inatisha kweli kweli PCCB hipo hipo tu kwa jina wanakazania kuwashika dagaa lakini hawana ubavu wa kuwashtaki ma mafia na waharifu sugu sasa hapo nashindwa kuelewa kama wanakwama kutokana na shinikizo la kisiasa au nini sijui! Mh.Magufuli akibahatika kushika madaraka sekta hii anapaswa kuifumua na kuihunda upya na ahakikishe ma CEO wanakuwa madarakani kwa term moja tu ya miaka mitano.
Narudia kusema Mh.Mkapa na Mh.Sumaye Taifa letu waliliweza sana Kiuchumi na kinidhamu,kiongozi atakaye kuja anapaswa kuhiga na sehemu nyingine kuboresha zaidi ya Mh.Mkapa na Sumaye-we need a semi-dictator to run our Country ili aweze kurudisha nidhamu katika sekta ZOTE.
Ndivyo mlivyo maccm mnawazaga matumbo yenu tu!
Asubiri ataipata fresh ya shamba
Sio wewe tu mtoa mada ambae huelewi, hata Jakaya hajaelewa bado.
It's a complicated movie without subtitles...hard for pro CCM to understand.
However October 25 utaelewa, ukishindwa kuelewa utaona, usipoona utasikia.
TO HELL CCM.