Sumaye haeleweki anachosimamia

Sumaye haeleweki anachosimamia

nyoka wa makengeza Sumaye kamwe hawezi kujuta kwani amejitambua na ameamua kuwapatia watanzania mabadiliko wanayoyataka nje ya mafisiemu.
huyu jamaa amejidhalilisha sana,amekuwa icon ya unafiki na uchu wa madaraka,atajuta sana baada ya october
 
Yeye Sumaye, Lowassa, Mbowe, Mtei, Ndesamburo, Mengi, Bakhressa, Manji, na wengine wengif tu walifanikiwa vipi chini ya huo mfumo wa CCM ambao Sumaye anaukosoa?

Akili Ndogo ni Shida kweli kweli. Mengi analalamika umasikini kila siku alafu mtu usiye na mtazamo utoa mfano kwa watu 8 ndani ya watu 48 Milioni kweli huu ni utajili?
 
Kila chama kinalindwa na wafuasi wake,, ndo maana hata CHADEMA kina wenyewe waguse uone. Tuombe mungu ashushe baraka zake kwa atakae chaguliwa awe anajua dhambi ndo tutaokoka
 
Enzi zetu tulipokuwa vijana kama huyu
hatukuwahi kuwa mashabiki wa majambazi kama sumaye
sio wakushabikiwa kabisa
n hatari sana kwa taifa hili

Katika watu Wapumbavu ni wewe maana hata siku moja hauja wahi kuacha kutetea ujinga.
Vijana tuna hitaji mabadiliko chaguo la wazee halina nafasi tena mwaka huu.
 
huyu jamaa amejidhalilisha sana,amekuwa icon ya unafiki na uchu wa madaraka,atajuta sana baada ya october

wewe mwenyewe hueleweki unachoongelea hapa unaweza kufafanua ulikuwa unataka afanye nini hasa kukupendezesha nafsi moyo wako
 
Akili Ndogo ni Shida kweli kweli. Mengi analalamika umasikini kila siku alafu mtu usiye na mtazamo utoa mfano kwa watu 8 ndani ya watu 48 Milioni kweli huu ni utajili?

Tatizo la mtu mwenye mawazo finyu, huwa anadhani kikomo cha mawazo yake, ndio ufahamu wote uliopo. Sasa Nikuulize, umeelewa Nilichokiandika?
Mengi kulalamikia umasikini ni tofauti na hoja niliyoizungumzia hapo. Hao wanane ni mifano tu michache ya waliofanikiwa katika mfumo wa utawala wa CCM na Nimewataja kwa sababu wanajulikana na karibu kila mtu. Hata hivyo, ukiangalia kiuhalisia, kuna mamilioni ya watu walio na nafuu kubwa ya maisha hata kama si mamilionea, sasa wao waliwezaje kujikwamua katika mazingira hayohayo ambayo watu wanadai hayachochei mafanikio?
 
Jamani huyu ni Ziro yule yule wa diploma ya kilimo tengeru. Mimi nilifikiri atarudi amebadilika baada ya kupata digrii lakini kumbe alienda kushangaa wengine tu
 
Sumaye arudishe mahekari ya ardhi kule mvomero na nyumba zaidi ya 5 alizonunua kwa bei ya kutupa, na atuambie miaka 10 Ya u PM wake alishindwaje kutukomboa maskini badala yake akapora mali na ardhi za wanyonge!?
Zile pesa za escrow mlizoiba mmerudisha tayari???
 
Ndesamburo na Mbowe nao walikuwa mafisadi?

Bandiko limesema ni wanufaika wa mfumo wa CCM; kwa nini wanaushambulia? Jibu langu ni kwa vile ni mfumo usio wa haki unaoneemesha ufisadi. Unganisha. Naona Manji na Bakhresa hujawataja.
 
Back
Top Bottom