Magamba acheni kutapatapa na porojo zenu,anachosimamia sumaye ni kimoja tu kuhakikisha utawala wa magamba unaondoka madarakani,kutokana na kushindwa kusimamia msingi wa kuwepo kwao madarakani,sera mbovu,umaskini,uchumi unaoyumba yote ni matunda ya magamba,hoja za sumaye kuwepo au kutokuwepo serikalini haziwezi kuondoa ukweli kuwa kama taifa magamba wametufikisha hapa tulipo,hatuhitaji kuhubiriwa ukweli huu na sumaye,unless uwe unafikiri kwa kutumia makalio ndio utapingana na huu ukweli,bahati mbaya magamba mnashindwa jambo kutueleza kwa nini tuendelee kuwaamani baada ya kushindwa for fifty years,najua hamna hoja za msingi kutushawishi,badala yake mmekimbilia matusi na kejeli dhidi ya lowassa na ukawa.but hakuna atakayezuia wimbi la mabadiliko siyo ndoto ya mchana kama mnavyojidanganya but hii ndo hali halisi,ukiacha propaganda zenu kwenye mitandao huko mitaani tunakoishi hali halisi inajulikana.safari hamna pa kutokea.hata hilo bao la mkono hamtafanikiwa.you cant fool all the peoples at all the time.its the time for change.