TWAAHIR BASGESSI
Member
- Jan 19, 2014
- 86
- 16
Huyo ni zerro brain mlishaambiwa sasa tatizo nn?
Ina maana ndesamburo sio tajiri? Mbowe sio tajiri? Sijagusia swala la uchumi kama nchi, nimezungumzo ukombozi wa kiuchumi kwa watu na ndio maana tunazungumzia watu.
CCM haifai hata kwa nini.
Una Elimu ya Kudesa wewe ndiyo maana hata upeo wako wa kuelewa ni mdogo sana.
Hahaha! Nimecheka sana. Lakini hakuna tatizo. Jibu hoja, elimu yangu haikuhusu, utaijua ukifika wakati.
huyu jamaa amejidhalilisha sana,amekuwa icon ya unafiki na uchu wa madaraka,atajuta sana baada ya october
Unashawishi Upumbavu jaribu kuwafanya watu wawe wajinga ili waelimike.
Kama huoni.hatakuaikia husikii?
Umewahi kujiuliza Ridhiwan kapata wapi Utajiri alio nao?
Huko kote unakoenda siko. Hapa Tunazungumzia waliopata utajiri huku mfumo wa CCM ukiwepo na bila kuwa na uhusiano na CCM kama wananchi wa kawaida. Wao waliwezaje?
Hoja zako zinaonyesha hauna Elimu kabisa.
usujiulize tu ilikuwaje jiulize wewe na baba yako na mama yako amjawahi kuwa ata wajumbe wa nyumba kumi !!?kwa kweli nimekuwa najiuliza alikuwaje pm kwa miaka 10? Ni mnafiki, mbeya, na muongo.
Eti pale kawe akasema eti sisiemu walituahidi maisha bora ila mpaka sasa bado, kweli? Hii kitu ni ya yeye kusema hivyo? Nimemdharau sana huyu babu. Yeye kawa pm wa sisiemu juzi juzi tu kwa miaka 10, leo anaongea pumba!
Kwa hiyo unatushauri nini?
Wazee wako walikuwa wanyapara toka ukoloni. Acha ujinga kuwaza kuwa mfumo wa ccm ndio uliwapatia utajiri mbowe na ndesapesa. Koma kabisaHuko kote unakoenda siko. Hapa Tunazungumzia waliopata utajiri huku mfumo wa CCM ukiwepo na bila kuwa na uhusiano na CCM kama wananchi wa kawaida. Wao waliwezaje?
MTU anapoomba kuleta uongozi mbadala anajua kuna kushindwa Na kushinda,kwa mtazamo huu was mleta mada eti MTU anayejaribu kufanya hivyo anamuona msaliti, mjinga Na eti atakuwa na maisha magumu baada ya uchaguzi akishindwa, kwa mtizamo huu itaichua Tanzania miaka 1000 kupiga hatua. Na kwa kweli hili linaelezea kiwango cha ujinga cha mleta mada
inawezekana we ndo huelewi anachosema.kama mjinga mwenzio amechangia upuuzi wako eti sumaye alisema hakuna ccm ilichofanya.yeye na ujinga wake kama wewe kadai hamwelewi anachosema.kisa alikuwa pm,kwa kuwafungua tu tatizo sio kuwa pm.tatizo mfumo,hata huyu anayetisha watu majukwaani anajiapiza bure ameshaambiwa alinde maslahi ya chama.....angalieni vitu kwa undani msiangalie juu juu tu.
huyu jamaa amejidhalilisha sana,amekuwa icon ya unafiki na uchu wa madaraka,atajuta sana baada ya october
Wazee wako walikuwa wanyapara toka ukoloni. Acha ujinga kuwaza kuwa mfumo wa ccm ndio uliwapatia utajiri mbowe na ndesapesa. Koma kabisa