SUMATRA yaondoa gari za Mbezi-Muhimbili

SUMATRA yaondoa gari za Mbezi-Muhimbili

Sio kila changamoto ni ya kuikumbatia you must consider hao walengwa kwanza... no wonder business plan inatafutwa baada ya miradi kuanza. No ujinga wa hali ya juu
Nielewe sipingani na mradi napingana na njia waliyotumia inaumiza walaji kuliko kuwasaidia.
Si kila changamoto inaweza kutatuliwa kabla ya mradi kuanza..muda mwingine ni ngumu kujua una hitaji magari kiasi gani kwenye route fulani kabla hujaanza mradi husika na hakuna mradi wowote ule dunia unao kosa changamoto kabisa..
Miradi mingi changamoto zake sahihi huanza kujulikana baada ya mradi kuanza...
Kwa hiyo changa moto zinaweza kutatuliwa wakati mradi unaendelea...
 
Ni jambo zuri, lakini kwa UDARt wamefeli.
Wamefeli mno, kuna siku binamu yangu alizimia kisa huo msongamano wa kujaza watu! alafu timing ya magari kwenye vituo navyo changamoto ikifika saa kumi na moja jion ruti ya gerezani kimara inakua overloaded sijui magari machache au ndo poor management.Kazi ipo kwa kweli.
 
Wamefeli mno, kuna siku binamu yangu alizimia kisa huo msongamano wa kujaza watu! alafu timing ya magari kwenye vituo navyo changamoto ikifika saa kumi na moja jion ruti ya gerezani kimara inakua overloaded sijui magari machache au ndo poor management.Kazi ipo kwa kweli.

Hii biashara ingekua huria, matatizo yangepungua.
 
Mkuu hapo napingana na ww,kumbuka mwendokasi haipotezi muda mwingi njiani tofauti na daladala zinazosimama kila kituo,it takes about 30 mns from Kimara to Fire,na pale Fire gari ni nyingi ukisubiri sana ni dakika kumi tu unafika muhimbili dakika tano.Ndani ya lisaa limoja unakuwa tayari uko Muhimbili.Kumbuka nauli hulipi tena,unatumia ticket ile ile.Cha msingi ni kuondoa usumbufu wa kutoka Mbezi hadi Kimara na kurudi Mbezi ,otherwise huu utaratibu utakuwa poa sana,unapunguza muda unaopotea kwenye daladala na Dsm itakuwa nzuri ikiwa mwendokasi utatamalaki jiji zima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbezi to Kimara kwa mwendokasi ni sh. 400 halafu Kimara to Muhi2 ni sh. 650: wakati kwa daladala ya kawaida Mbezi to Muhimbili ni sh. 500 hadi 600. Huku ni kukomoa wananchi sio kuboresha. Kimsingi ilitakiwa kuacha zikose abiria zife natural death kuliko kulazimisha mambo. Huyu Kisena kawakamata decision makers anawapelekesha kama magari mabovu.
 
Mkuu hapo napingana na ww,kumbuka mwendokasi haipotezi muda mwingi njiani tofauti na daladala zinazosimama kila kituo,it takes about 30 mns from Kimara to Fire,na pale Fire gari ni nyingi ukisubiri sana ni dakika kumi tu unafika muhimbili dakika tano.Ndani ya lisaa limoja unakuwa tayari uko Muhimbili.Kumbuka nauli hulipi tena,unatumia ticket ile ile.Cha msingi ni kuondoa usumbufu wa kutoka Mbezi hadi Kimara na kurudi Mbezi ,otherwise huu utaratibu utakuwa poa sana,unapunguza muda unaopotea kwenye daladala na Dsm itakuwa nzuri ikiwa mwendokasi utatamalaki jiji zima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ungekuwa umetumia hiyo route ungemuelewa mchangiaji. Kiufupi ufanisi wa mwendokasi bado! Lazima wawe na competitor ili kuwe na tija katika utendaji wao. Muda wa watu kuyasubiri, kuload na kuoff load abiria ni tatizo kubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hutoke nje ya check point ndio lakini how about Mbezi to Kimara? kwa kweli ni hapo ndio shida inakoanzia
Hapo ndio majanga, sijui watu huwa hawawazi mbele impact itakuaje kwa kila maamuz wanayochukua.
 
Ni siku ya tatu hii Sumatra wameondoa root ya Daladala za Mbezi-Muhimbili. Je! Wanamsaidia mwananchi wa kipato cha chini kwa hali hii??

6e1bc4ec1b2f56f47c65046e0f39155a.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
Root = Route
 
Ni kero kweli,yaani Mbezi_Kimara,Kimara_fire/Gerezani,Fire/Gerezani_Muhimbili.Hakika hakuna kupunguziana gharama ni maumivu tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"...ila itakaa sawa..."
Hiyo ni nadharia na matamanio (wishful thinking). Kuna wajanja wameamua kukamua pesa kwa njia ya UDART. UDART ni usafiri wa kikomunisti kama korea kaskazini. Mtu unalazimishwa kula usichopenda.
Kweli mkuu, ni kosa kubwa wanalofanya kuacha kampuni moja kuhodhi utoaji wa huduma za usafiri. Mwisho wa siku itakuwa ni kero tupu kama tunavyoona kwenye makampuni kama tanesco. Wanachotakiwa kufanya ni kuweka vigezo vya magari yanayotakiwa kutoa usafiri wa umma kwa dsm, then makampuni na watu binafsi waruhusiwe ku compete hali itakayosaidia kuboresha utoaji wa huduma na kupunguza kero za kutegemea kampuni moja
 
Mkuu hapo napingana na ww,kumbuka mwendokasi haipotezi muda mwingi njiani tofauti na daladala zinazosimama kila kituo,it takes about 30 mns from Kimara to Fire,na pale Fire gari ni nyingi ukisubiri sana ni dakika kumi tu unafika muhimbili dakika tano.Ndani ya lisaa limoja unakuwa tayari uko Muhimbili.Kumbuka nauli hulipi tena,unatumia ticket ile ile.Cha msingi ni kuondoa usumbufu wa kutoka Mbezi hadi Kimara na kurudi Mbezi ,otherwise huu utaratibu utakuwa poa sana,unapunguza muda unaopotea kwenye daladala na Dsm itakuwa nzuri ikiwa mwendokasi utatamalaki jiji zima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hujui. Mwendokasi haipotezi muda njiani ila inapoteza muda kituoni kuisubiria kabla ya kuipanda!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo mwendo kasi unavyojaa,
Mungu wangu nenda hapo fire hata hao wagonjwa
watafia hapo hapo.
Turudishieni magari yetu. Mateso haya yote ni nini?
 
Mwendokasi inabidi wapunguze nauli sababu ni shirika la umma. Haiwezekani basi za kawaida nauli tsh400 halafu wao 700. Halafu efficiency yao ni mbovu magari yanajaa sana wakati ukienda depot au hata Kimara utayaona yamepaki tuu hayabebi abiria. Vituo vinajaa sana watu na magonjwa ni rahisi kuambukizana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kila changamoto inaweza kutatuliwa kabla ya mradi kuanza..muda mwingine ni ngumu kujua una hitaji magari kiasi gani kwenye route fulani kabla hujaanza mradi husika na hakuna mradi wowote ule dunia unao kosa changamoto kabisa..
Miradi mingi changamoto zake sahihi huanza kujulikana baada ya mradi kuanza...
Kwa hiyo changa moto zinaweza kutatuliwa wakati mradi unaendelea...
Changamoto za route ya kimara tu zimewashinda sembuse hiyo mbezi ambayo hata barabara haijajengwa? Kwahiyo watu wanyanyasike mpaka barabara ijengwe?
By the way changamoto nyingine huwa hazipaswi hata kuongelewa mf ukosefu wa kadi ni mwezi sasa nafatilia huo ni uzembe wa wazi
 
Back
Top Bottom