Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,836
Hawa Sukuma Gang kila kukicha ni kukosoa kuwa Serikali ya Samia ina ufisadi ila Chadema hawaikosoi
Chadema wakikosoa tena hao hao utawasikia wakiiponda Chadema kuwa ni wapiga dili sababu walimpinga Magufuli
Wakiipongeza Serika utawasikia wakisema wamelambishwa asali, yaani wapo kama kuku waliokatwa vichwa
Nyie Sukuma Gang kama nyie ni wanaume, tokeni CCM mlikojificha, undeni chama cha Upinzani muikosoe serikali mnayosema ni ya kifisadi
Chadema wakikosoa tena hao hao utawasikia wakiiponda Chadema kuwa ni wapiga dili sababu walimpinga Magufuli
Wakiipongeza Serika utawasikia wakisema wamelambishwa asali, yaani wapo kama kuku waliokatwa vichwa
Nyie Sukuma Gang kama nyie ni wanaume, tokeni CCM mlikojificha, undeni chama cha Upinzani muikosoe serikali mnayosema ni ya kifisadi