Sugu Vs. Tuzo za Heshima-Fiesta!!Kulikoni??

Bila sugu Bongo flava haiba historia,ila inajulikana bifu la Sugu na Clouds.Zamani kulikua na Bifu kati ya Pro na Clouds baadae wakaona jamaa ni noma kwenye tamasha lao bila yeye wananchi hawatwaelewa kwenye matamasha yao ya FIESTA ikabidi waelewane nae.Ndio maana kwenye songi moja anasema "wengi wenu kabla amjaja mjini". Wadau wa mziki wanasema kilikuwa ni kidongo kwa Radio Presenter wa Clouds.

I hoope kama isingekuwa Safari za sugu majuu,na hisi hata yeye wangekuwa wamerekebisha nae kwa kuwa kwenye FIESTA hizi wangekuwa awaeleweki kwa wabongo kwenye matamasha yao.Lakini mengi ya matamasha yalikuwa yanamkuta Sugu Nje ya Nchi.

Lakini wajue Watanzania wanajua Sugu ndio Legender wa Bongo flava Tanzania
 
nadhani alitegemea na saleh jabry angetajwa kama muasisi wa bongo f.
duh! Wazee hapo kuna kitu gani cha kufurahisha mpaka nime gongewa LIKE?naanza kuzichukia hizo LIKE Maana zingine zinatubeza (joke)
 
Umemuelezea Sugu kama alivyo......nakumbuka alikuwa ana-fight sana kwa ajili ya familia yake....mother na wadogo zake na alikuwa na idea pana sana ya maisha ya utafutaji hasa nje ya muziki.

Ameisaidia sana ile familia, i hope hata yule dogo wake wa mwisho ndo anamalizia c/kikuu. Ila yote kazi ya sugu.
 
JF naomba mgomo wa kusikiliza clouds fm na kuangalia clouds tv hadi kieleweke, ni wahuni huwezi kuweka ubaguzi kiwazi wazi alafu wanajiita ni redio ya watu, ni ujinga huo, unless waseme hao watu ni akina nani?
 
Bob hakuanzisha Regge lakini yeye ndio anaitwa muasisi wa Regge, je unajuwa kwa nini? ukipata jibu la swali hili basi moja kwa moja utakubali kwamba Sugu anastahili kuitwa muasisi wa Bongo Fleva, ukweli huu huwezi kuupinga Duniani wala mbinguni.
Najuwa sana kina Kibacha walianza hii Game kitambo akiwa na Drob lakini hawakuweza kuupeleka huu mziki juu ya mstari, aliekomaa na huu mziki ni Sugu na ndio Rapa wa kwanza kutoka Bongo kufanya show Mamtoni.

ni maoni yako mkuu!

ila SUGU sio muasisi ya Bongo wa flava wapo waliomtangulia mkuu ... KU waliwahi kufanya shoo hadi nairobi na kina KALA MASHAKA , waliwahi hadi kufika nigeria ... ni kweli kwamba walikuja kufifia kwa kuwa kipindi kile wazee wetu waliona mziki uhuni... Sugu alikuja na kufuata nyayo zao na KUUPELEKA MZIKI KWENYE LEVEL NYINGINE .. My point unaposema waanzilishi wa bongo flava huwezi kuwaacha kina EASY B,D-ROB,RHYMSON,FRESH G,Y-THANG. KBC NA NIGGA ONE (RIP!)
 
ni maoni yako mkuu!

ila SUGU sio muasisi ya Bongo wa flava wapo waliomtangulia mkuu ... KU waliwahi kufanya shoo hadi nairobi na kina KALA MASHAKA , waliwahi hadi kufika nigeria ... ni kweli kwamba walikuja kufifia kwa kuwa kipindi kile wazee wetu waliona mziki uhuni... Sugu alikuja na kufuata nyayo zao na KUUPELEKA MZIKI KWENYE LEVEL NYINGINE .. My point unaposema waanzilishi wa bongo flava huwezi kuwaacha kina EASY B,D-ROB,RHYMSON,FRESH G,Y-THANG. KBC NA NIGGA ONE (RIP!)
Ilaa Sugu ni nani? mbona unazungukazunguka tu?
 
Ilaa Sugu ni nani? mbona unazungukazunguka tu?

Ni mmoja kati ya wasanii wenye kuheshimika kwa kuupeleka mziki wa kizazi kipya kwenye level nyingine ! lakini Sio muasisi! Is this straight enough!
 
Ni mmoja kati ya wasanii wenye kuheshimika kwa kuupeleka mziki wa kizazi kipya kwenye level nyingine ! lakini Sio muasisi! Is this straight enough!
Lack of proper information,....... je Bob Marley ni muasisi wa Regge au nae sifa yake ni kama ya Sugu?
 
Lack of proper information,....... je Bob Marley ni muasisi wa Regge au nae sifa yake ni kama ya Sugu?


sijajua kuhusu history ya reggae , ila najua historia ya mziki huu wa kizazi kipya sina haja ya kwenda darasani au kupekua google kujua historia ya bongo flava wapi imetoka na wapi inaelekea

nipe basi hzio proper information .
 
me nadhan zile tuzo zilitolewa kwa wale wote (wasanii) ambao kwa namna moja au nyingine wamesaidia fiesta kufika pale (tangu ianzishwe ikiwa ni mwaka wa kumi),so sugu hana mchango katika hilo...
 
teh teh,hapa mnapigishana kelele juu ya nini vile?kama tuzo lady JD juzi kati hapa kawapa tuzo wanamuziki wake wooote na washabiki.mama shamim wa 8020 nae kashatoa zake,asia idarious ndio anatoa tuzo za kila aina kila siku,hasanali,nancy sumary, na wengineo ni kutoa tuzo kwa kwenda mbere
na mimi wiki ijayo natoa tuzo kwa mpika kitimoto bora paulo pale baa kwangu kimara na barmaid asiye na mpinzani, toka kondoa salima

mnakaribishwa kushuhudia
 
Mimi wiki ijayo natoa tuzo kwa bata na kuku wangu, mnakaribishwa wote.
 
2Proud, Mr II au Sugu ni kama siku ya uhuru. huwezi kuibadilisha hata ujifanye umeisahau au huijui. Lakini pia nawakumbuka saleh jabri, nurueli, Dolasol, saigon, mchizi one, afande sele, soggy doggy, Mr paul, profesa jay, KU crew, hard blastas
 
sijajua kuhusu history ya reggae , ila najua historia ya mziki huu wa kizazi kipya sina haja ya kwenda darasani au kupekua google kujua historia ya bongo flava wapi imetoka na wapi inaelekea

nipe basi hzio proper information .

Bob Sio muasisi wa reggae, yeye ni mfalme wa reggae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom