GE2025 Sugu: Tumewasamehe Polepole na Gwajima

GE2025 Sugu: Tumewasamehe Polepole na Gwajima

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Ccm ikitema uchafu ndugu zangu wanaokota. polepole aliongoza mbinu chafu ya kufunga mikutano ya vyama vya siasa kwa miaka 6 leo hii Chadema wanamuona Polepole wa maana kwao.
Gwajima alishindwa kiuongozi kwa kila namna akiwa mbunge wa kawe leo hii Gwajima ameonekan wa maana Kwa chadema.huu ni mwaka wa mwisho kwao.
Wewe mbona pia ni uchafu kama unabisha sokomeza dole lako la kati kwenye tundu yako ya haja kubwa kisha litoe uone kama inzi hawajalishangilia, pumbavu kabisa wewe.
 
Unamsamehe vipi mtu ambae hajaomba msamaha? Kama mtu hajakubali makosa yake maana yake ni kuwa akipata nafasi atayarudia tena.

Amandla...
 
Sugu amelelewa,

Amueleweshe na Lemma,

Amwambie kuwa kuukomboa nchi unahitaji makundi yote wakiwamo maadui watakaoasi mfumo na kuungana nawe.
Lema anatakiwa ajifunze kusamehe asiishi na chuki, gwajima na pole pole wamesamehewa
 
wewe nı mungu unahukumu na kusamehe?
Kusamehe ni kazi ya Mungu au umechanganyikiwa? Unasoma kitabu gani Cha dini ambacho kinakataza mwanadamu kumsamehe mwanadamu mwenzie?
 
Sijui unaongea vitu gani,ila hauna hoja.

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg
 
Hii imepita, Siku zote kakita mapambano tumia silaha yoyote iliyo mbele yako ili kumshinda adui yako. au Ukimkuta adui yako anapambana na simba afadhali umsaidie simba kuliko huyo adui yako.
 
Ccm ikitema uchafu ndugu zangu wanaokota. polepole aliongoza mbinu chafu ya kufunga mikutano ya vyama vya siasa kwa miaka 6 leo hii Chadema wanamuona Polepole wa maana kwao.
Gwajima alishindwa kiuongozi kwa kila namna akiwa mbunge wa kawe leo hii Gwajima ameonekan wa maana Kwa chadema.huu ni mwaka wa mwisho kwao.
mwanadamu ni dynamic creature. kwa sasa John HECHE na wenzake, Humphrey Polepole, Mtumishi wa Mungu JOSEPHAT GWAJIMA, ni sauti ya wananchi wanatufaa sana waTanzania hasa waTanganyika.

#KATAA WAHUNI#
 
Back
Top Bottom