Sudan ya kusini yahamisha mjii mkuu

Sudan ya kusini yahamisha mjii mkuu

Bajabiri, ndio hivyo tena vongozi wa serikali hawana utashi wa kwenda Dom, wanafanya biashara Dar, kuna baadhi ya wafanyakazi wizara fulani walishalipwa kuhamia dom lakini baadaye walivyoona viongozi wanasuasua kuhamia dom nao wakarudi kimya kimya dar na mamilioni ya pesa waliweka mfukoni.
 
Hilo swali ungemuuliza Mizengo Pinda angekujibu mimi sio magamba!<br />
Uwezi kufananisha hali ya South Sudan ya miji ya Ramciael na Juba na hali ya miji ya Tanzania Dar es Salaam na Dodoma, lazima akili yako itakuwa Masaburi ni vitu viwili tofauti kabisa
<br />
<br />


Wewe sio magamba kivipi mkuu??kila mtu anajua juhudi zako za kutetea magamba
 
Wewe mwenyewe umeishasema wameamua kuhamisha mji mkuu sababu Juba hakuna ardhi sehemu kubwa ni jangwa!
Dar es Salaam, bado kuna ardhi kubwa tena ingine hata kuguswa bado!
akili fupi za ccm
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
nilitegemea siku ile ya watawala wote wa wizara walipoitwa na jk dodoma,angetangaza wabaki dodoma kwani ndio makao makuu ya nchi.yahitaji maamuzi magumu
hivi huwa mnatafakari kabla ya kupost? Ulishafika dodoma wewe? Unavyodhani Dodoma unayoijua au unayoisikia ina uwezo wa kuaccomodate ofisi za serikali kwa sasa? Na unaijua gharama ya kuhamia Dodoma kwa maana ya kuhamia? Mimi nitakuelewa ukiniambia Dodoma ianze kuandaliwa kuwa makao makuu ya serikali na hapo kuhamia sio leo wala kesho labda 2017. Otherwise wakifanya kama unavyotaka serikali itapeleka mgogoro mwingine Dodoma
 
Sasa hata hayo maandalizi hayana kasi kabwela,kwa sababu hadi leo hakuna hata azimio moja,ulimsikia pinda???anasema wataitaj maon ya raia
hivi huwa mnatafakari kabla ya kupost? Ulishafika dodoma wewe? Unavyodhani Dodoma unayoijua au unayoisikia ina uwezo wa kuaccomodate ofisi za serikali kwa sasa? Na unaijua gharama ya kuhamia Dodoma kwa maana ya kuhamia? Mimi nitakuelewa ukiniambia Dodoma ianze kuandaliwa kuwa makao makuu ya serikali na hapo kuhamia sio leo wala kesho labda 2017. Otherwise wakifanya kama unavyotaka serikali itapeleka mgogoro mwingine Dodoma
<br />
<br />
 
Back
Top Bottom