Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,377
- 176,228
Andaa kaniki twende tukachill
akuuuu usijenipeleka kula nyama za watu.
Andaa kaniki twende tukachill
Hiyo Surrender bridge si waiongeze tuache kugongana? Kweli na kupendaaaaa. Zuwena alipo sijui ila mtoa mada katangulia kwa mola tena mjidai mseme hakuna kama yeye wala Maneti wala king kiki wala zembwera nikitaja wote nitawehuka we acha tu.Zuwena zuwenaaaaa kweli nakupendaaaaaa.
Yule mdada aloact kwenye hiyo video ni nani na yupo wapi sababu mhu sisi ndo wale wa kuita watoto watuwekee tunachotaka kuangalia.subira yangu ndo iliyonipoonza,
ngoja ngoja naonekana mjinga,
kwa sababu nilimpenda kweeli,
kwa sababu nilimpenda kweeli?
sasa ndugu endelea kusubiri!.....
ngoja ngoja naonekana zobaaaaaaa? Kwa sababu nilimpenda Zoba mbona akina mwampemba wanawin yeye mh.Upoleee... upole ni ngao yangu
Nakusubiri ii. ...Nakusubiri sichoki ii
Subira aaa...subira ni ngao nakusubiri ii. ..Nakusubiri sichoki
Iwe safi moyo wanguu. ...ooh wangu.....
Sina kinyongo na chukiii ooh chukiii....
Wabaya nafurahiaa. .sikwambii marafiki...wabaya nafurahiaa sikwambii marafiki.....
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
(Leo nimeamua kuwaburudisha na za kale)
Nyimbo nzuri mkuu, ila nna mashaka walioitambua ni wachache sana, maana wenyewe wameshazoea miziki yao ya sikuhizi yenye adhabu katikaki ya burudani utasikia mikono juu, mikono juu, piga keleeeee
Kuna Binti Mmoja Akanilazimisha Twende Kwa Hizo Ngoma, Nikaona Aaah Isiwe Shide Ngoja Twende.
Eti Adhabu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kuna Binti Mmoja Akanilazimisha Twende Kwa Hizo Ngoma, Nikaona Aaah Isiwe Shide Ngoja Twende.
Kufika Pale Mi Nikakaa Kaunta Nikaanza Kunyonya dawasco pale Ye Huku Anapigishwa Adhabu Huku Ananishangaa We Mbona Hupati Steam, Nikamwambia Mi Nawasubiri Twanga Wapande Ndo Niwe Na Raaaaha.
It Was At Moshi Ushirika Stadium![]()
![]()
![]()
Eti Adhabu
wachache sana watakusoma hapaStahmil na upoe zidisha uvumilivuUpoleee... upole ni ngao yangu
Nakusubiri ii. ...Nakusubiri sichoki ii
Subira aaa...subira ni ngao nakusubiri ii. ..Nakusubiri sichoki
Iwe safi moyo wanguu. ...ooh wangu.....
Sina kinyongo na chukiii ooh chukiii....
Wabaya nafurahiaa. .sikwambii marafiki...wabaya nafurahiaa sikwambii marafiki.....
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
(Leo nimeamua kuwaburudisha na za kale)
Dah nilikatisha kwa kusahau huu mwendelezo asante sana komrediStahmil na upoe zidisha uvumilivu
Uvumilie muumba ndo mwenye nguvu
Dua ninawaombea wale walotaharuki
Wazidi kuendelea kwani chuki makhuluki
Ipo siku watajua ukweli haufichI.
Ha ha haaaa. Mshana hapo mwisho inakuwa:Upoleee... upole ni ngao yangu
Nakusubiri ii. ...Nakusubiri sichoki ii
Subira aaa...subira ni ngao nakusubiri ii. ..Nakusubiri sichoki
Iwe safi moyo wanguu. ...ooh wangu.....
Sina kinyongo na chukiii ooh chukiii....
Wabaya nafurahiaa. .sikwambii marafiki...wabaya nafurahiaa sikwambii marafiki.....
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
(Leo nimeamua kuwaburudisha na za kale)
Shukran pamoja sana komredi wacha tukumbuke vizuri vya kale.Dah nilikatisha kwa kusahau huu mwendelezo asante sana komredi
Lols,Asante mamito....huu wimbo ulikuwa dedication yako na ule mwingine wa Njia peleka salamu...

Hebu tujaribu na huu nikikwama tia nenoShukran pamoja sana komredi wacha tukumbuke vizuri vya kale.
NImemuachia munguHa ha haaaa. Mshana hapo mwisho inakuwa:
'Maovu si sifa yangu na kugombana sitakiiii'.
Lols,
Tena njiwa peleka salamu nnaupendaje.
Njiwa peleka salamu?, ah kwa yule wangu muhibu.
Umueleze afahamu, kama ninapata tabuuuu.
Hali yangu mahamumu, aahh maradhi yamenisibu.
'Ewe njiwa, ewe njiwa, peleka salamuu.
Kwa yule kwa yulee, wangu muhibuuu.
![]()
![]()
nimejaribu hapo chini kumbe nimechapia