Subira

Subira

Zuwena zuwenaaaaa kweli nakupendaaaaaa.
Hiyo Surrender bridge si waiongeze tuache kugongana? Kweli na kupendaaaaa. Zuwena alipo sijui ila mtoa mada katangulia kwa mola tena mjidai mseme hakuna kama yeye wala Maneti wala king kiki wala zembwera nikitaja wote nitawehuka we acha tu.
 
Upoleee... upole ni ngao yangu
Nakusubiri ii. ...Nakusubiri sichoki ii
Subira aaa...subira ni ngao nakusubiri ii. ..Nakusubiri sichoki
Iwe safi moyo wanguu. ...ooh wangu.....
Sina kinyongo na chukiii ooh chukiii....
Wabaya nafurahiaa. .sikwambii marafiki...wabaya nafurahiaa sikwambii marafiki.....


(Leo nimeamua kuwaburudisha na za kale)
ngoja ngoja naonekana zobaaaaaaa? Kwa sababu nilimpenda Zoba mbona akina mwampemba wanawin yeye mh.
 
Nyimbo nzuri mkuu, ila nna mashaka walioitambua ni wachache sana, maana wenyewe wameshazoea miziki yao ya sikuhizi yenye adhabu katikaki ya burudani utasikia mikono juu, mikono juu, piga keleeeee
Kuna Binti Mmoja Akanilazimisha Twende Kwa Hizo Ngoma, Nikaona Aaah Isiwe Shide Ngoja Twende.
Kufika Pale Mi Nikakaa Kaunta Nikaanza Kunyonya dawasco pale Ye Huku Anapigishwa Adhabu Huku Ananishangaa We Mbona Hupati Steam, Nikamwambia Mi Nawasubiri Twanga Wapande Ndo Niwe Na Raaaaha.
It Was At Moshi Ushirika Stadium Eti Adhabu
 
Kuna Binti Mmoja Akanilazimisha Twende Kwa Hizo Ngoma, Nikaona Aaah Isiwe Shide Ngoja Twende.
Kufika Pale Mi Nikakaa Kaunta Nikaanza Kunyonya dawasco pale Ye Huku Anapigishwa Adhabu Huku Ananishangaa We Mbona Hupati Steam, Nikamwambia Mi Nawasubiri Twanga Wapande Ndo Niwe Na Raaaaha.
It Was At Moshi Ushirika Stadium Eti Adhabu
wachache sana watakusoma hapa
 
Upoleee... upole ni ngao yangu
Nakusubiri ii. ...Nakusubiri sichoki ii
Subira aaa...subira ni ngao nakusubiri ii. ..Nakusubiri sichoki
Iwe safi moyo wanguu. ...ooh wangu.....
Sina kinyongo na chukiii ooh chukiii....
Wabaya nafurahiaa. .sikwambii marafiki...wabaya nafurahiaa sikwambii marafiki.....


(Leo nimeamua kuwaburudisha na za kale)
Stahmil na upoe zidisha uvumilivu
Uvumilie muumba ndo mwenye nguvu
Dua ninawaombea wale walotaharuki
Wazidi kuendelea kwani chuki makhuluki
Ipo siku watajua ukweli haufichI.
 
Stahmil na upoe zidisha uvumilivu
Uvumilie muumba ndo mwenye nguvu
Dua ninawaombea wale walotaharuki
Wazidi kuendelea kwani chuki makhuluki
Ipo siku watajua ukweli haufichI.
Dah nilikatisha kwa kusahau huu mwendelezo asante sana komredi
 
Upoleee... upole ni ngao yangu
Nakusubiri ii. ...Nakusubiri sichoki ii
Subira aaa...subira ni ngao nakusubiri ii. ..Nakusubiri sichoki
Iwe safi moyo wanguu. ...ooh wangu.....
Sina kinyongo na chukiii ooh chukiii....
Wabaya nafurahiaa. .sikwambii marafiki...wabaya nafurahiaa sikwambii marafiki.....


(Leo nimeamua kuwaburudisha na za kale)
Ha ha haaaa. Mshana hapo mwisho inakuwa:

'Maovu si sifa yangu na kugombana sitakiiii'.
 
Asante mamito....huu wimbo ulikuwa dedication yako na ule mwingine wa Njia peleka salamu...
Lols,

Tena njiwa peleka salamu nnaupendaje.

Njiwa peleka salamu?, ah kwa yule wangu muhibu.
Umueleze afahamu, kama ninapata tabuuuu.
Hali yangu mahamumu, aahh maradhi yamenisibu.
'Ewe njiwa, ewe njiwa, peleka salamuu.
Kwa yule kwa yulee, wangu muhibuuu.
 
Shukran pamoja sana komredi wacha tukumbuke vizuri vya kale.
Hebu tujaribu na huu nikikwama tia neno
Njiwa peleka salamu uu ooh kwa yule wangu muhibuuu
Ukifika aaa muelezee kwamba ninapata tabu uu
Pendo langu halijaishaaa..........


cc: Angel Nylon
 
Lols,

Tena njiwa peleka salamu nnaupendaje.

Njiwa peleka salamu?, ah kwa yule wangu muhibu.
Umueleze afahamu, kama ninapata tabuuuu.
Hali yangu mahamumu, aahh maradhi yamenisibu.
'Ewe njiwa, ewe njiwa, peleka salamuu.
Kwa yule kwa yulee, wangu muhibuuu.
nimejaribu hapo chini kumbe nimechapia
 
Back
Top Bottom