Subira

Subira

hata nami nakusubiri eeeh mshana weee
ndoa yetu iwe angani kwenye ungoo eeeh
niroge nirogeke nisichomoke kwakoo eeh
 
Nyimbo nzuri mkuu, ila nna mashaka walioitambua ni wachache sana, maana wenyewe wameshazoea miziki yao ya sikuhizi yenye adhabu katikaki ya burudani utasikia mikono juu, mikono juu, piga keleeeee
Enzi zile dunia ilikuwa bado haijavaa bikini
 
Zuwena zuwenaaaaa kweli nakupendaaaaaa.
....yakatangazwa majina ya watuu waliokuwamo kwenye ajali hiyoo..mojawapo kati ya watu hao alikuwemo mpenzi Zuwenaaa. ...
Nikatoka bila kujitambua mikono kichwani huku nikilia....
 
Kuoana ni jambo la sifa, na tena ni jambo la fahari kubwa kwa watu wawili waliopendana.
Hivi leo Ndyanao na Saiba, mnaoana kumbukeni kuwa mmekuwa mmekubali ahadi yenu kwa Munguuu. Hivi mnawakumbuka Ndyanao na Saiba? Mnamkumbuka dada yake na Patrick Balisidya watu mliokuwa mlimani enzi hizo?
 
....yakatangazwa majina ya watuu waliokuwamo kwenye ajali hiyoo..mojawapo kati ya watu hao alikuwemo mpenzi Zuwenaaa. ...
Nikatoka bila kujitambua mikono kichwani huku nikilia....

Hapo tunasubiri kwenda Mtukura front line we acha tunawinda ndege wasile mpunga. Sisemi wapi watakuja wengi hapo.
 
Kuoana ni jambo la sifa, na tena ni jambo la fahari kubwa kwa watu wawili waliopendana.
Hivi leo Ndyanao na Saiba, mnaoana kumbukeni kuwa mmekuwa mmekubali ahadi yenu kwa Munguuu. Hivi mnawakumbuka Ndyanao na Saiba? Mnamkumbuka dada yake na Patrick Balisidya watu mliokuwa mlimani enzi hizo?

Hapo tunasubiri kwenda Mtukura front line we acha tunawinda ndege wasile mpunga. Sisemi wapi watakuja wengi hapo.
niah Mungu anatupenda sana tumeishi kuiona JF !
 
subira yangu ndo iliyonipoonza,
ngoja ngoja naonekana mjinga,
kwa sababu nilimpenda kweeli,
kwa sababu nilimpenda kweeli?

sasa ndugu endelea kusubiri!.....
 
wimbo mmbaya,sababu kwenye outro umeninyima korabo hata yakunirusha kama zile nyimbo za kikongo haujafanya
 
Back
Top Bottom