Suarez v diego costa

Suarez v diego costa

Nimekusoma sana mkuu kwa nyongeza kwani spain hawana timu zinazoitwa na baadh ya wadau et tim ndogo? Jibu ni zipo hata ushindan spain n mdogo tofaut na uingereza wajama.
Tatizo la watu wanaongelea mapenzi binafsi kisa tu Gunman hachezei timu zao."Nlikuwepo":bolt:
 
ushawahi kumwona akishambulia mechi kubwa kubwa kama ya chelsea,man city na arsenal?huwa haonekani kama yupo uwanjani
Unazungumzia msimu huu ama na misimu mingine alokutana na hizo timu?

"Nlikuwepo":bolt:
 
Wajama mnazungusha mno suarez hajazifunga tim kubwa msimu huu 2 msimu uliopita alisawazisha gol kwa chelse ikawa draw ya 1-1 anfild kisha 2-2 stamford bridge, man city pia alifunga gem zote etihad 2-2 gol alifunga kwa fauro kisha anfild pia 2.2 sasa mnataka nn kingine msadiwe tatzo mme kariri.
Nahisi wao wanamfananisha Suarez wa sasa na Diego costa wa sasa,labda mleta mada atusaidie hapa..
ila nahisi wamesahau kuwa msimu uliopita bila suarez kumng'ata Ivanovic,RVP ufungaji bora angeusikia tu.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Diego Costa noma,Suarez anakuzwa na vyombo vya habari,mfano mzuri kina Aguero,Navas na Negredo walikuwa hawajulikani mpk wamekuja Man City wamekuzwa na BBC ila walikuwa wazuri toka mwanzo walipokuwa Spain,kina Soldado wote walikuwa hawatajwi leo wa2 wanawajua,hata Suarez alipokuwa Ajax Amsterdam wa2 walikuwa hawamjui na hata aliposhika mpira wc 2010 vs Ghana wa2 walikuwa hawamjui ila leo Sky News inamfanya awe nyota,kifupi Costa zaidi kwangu.
 
Diego Costa noma,Suarez anakuzwa na vyombo vya habari,mfano mzuri kina Aguero,Navas na Negredo walikuwa hawajulikani mpk wamekuja Man City wamekuzwa na BBC ila walikuwa wazuri toka mwanzo walipokuwa Spain,kina Soldado wote walikuwa hawatajwi leo wa2 wanawajua,hata Suarez alipokuwa Ajax Amsterdam wa2 walikuwa hawamjui na hata aliposhika mpira wc 2010 vs Ghana wa2 walikuwa hawamjui ila leo Sky News inamfanya awe nyota,kifupi Costa zaidi kwangu.

wewe huyo dieg costa umemfahamu lini?
 
Suarez ni bonge la mchezaj japo msimu huu hajafunga timu kubwa lakin mimi hiyo si sababu ya kusema kwamba si bora. Diego costa nae ni mzur sana japo bado mimi naamin kwamba suarez ni bora zaid ya diego costa
 
mi nafuatilia la liga hadi wachezaji wa elche na granada wote nawajua,sisubiri mpk sky sports ikuze wachezaji wao

kaka kufuatilia la liga co kufuatilia wachezaji.Mbona akina ETOO,GAUCHO,MESS NA KAKA Walijulikana kwa umahili wa mchezo wao bila kupitia uingereza kaka acha wvu suarez nouma
 
kaka kufuatilia la liga co kufuatilia wachezaji.Mbona akina ETOO,GAUCHO,MESS NA KAKA Walijulikana kwa umahili wa mchezo wao bila kupitia uingereza kaka acha wvu suarez nouma
waingereza wana kasumba hiyo,hata hao waliwika kutokana na umahiri wa FC Barcelona,na england kwa ligi ya Spain wanakuza timu 2 wanazitangaza na kiasi kwamba utasikia wa2 wanadai ligi ya spain haina upinzani 7bu timu 2 na wanajaa mpk el clasico ndio wengi wanaangalia mechi hiyo tu,kwahiyo ni vigumu kifaa kutoka Rayo Vallecano au zaidi ya timu hizo el clasico mchezaji kuchezea kujulikana,wewe unadhani hao uliowataja wangekuwa sio Barca au AC Milan kuwaona ktk UEFA Champions ligi ungewajua?lakini Suarez UCL hajacheza akiwa na Liverpool lakini tayari maarufu,kinyume na la liga kama hawajakuona ktk UCL hautajulikana,eg kina Falcao kajulikana ktk UCL na kuwafunga Chelsea ktk super cup hat tric,ndio utakuta Aguero hajawahi kucheza na Atetico Madrid UCL hakujulikana mpk kaja England,Torres alikuwa Atletico Madrid nae hakujulikana mpk kaja England,kina Cazorla,Navas,Negredo na kadhalika.
 
waingereza wana kasumba hiyo,hata hao waliwika kutokana na umahiri wa FC Barcelona,na england kwa ligi ya Spain wanakuza timu 2 wanazitangaza na kiasi kwamba utasikia wa2 wanadai ligi ya spain haina upinzani 7bu timu 2 na wanajaa mpk el clasico ndio wengi wanaangalia mechi hiyo tu,kwahiyo ni vigumu kifaa kutoka Rayo Vallecano au zaidi ya timu hizo el clasico mchezaji kuchezea kujulikana,wewe unadhani hao uliowataja wangekuwa sio Barca au AC Milan kuwaona ktk UEFA Champions ligi ungewajua?lakini Suarez UCL hajacheza akiwa na Liverpool lakini tayari maarufu,kinyume na la liga kama hawajakuona ktk UCL hautajulikana,eg kina Falcao kajulikana ktk UCL na kuwafunga Chelsea ktk super cup hat tric,ndio utakuta Aguero hajawahi kucheza na Atetico Madrid UCL hakujulikana mpk kaja England,Torres alikuwa Atletico Madrid nae hakujulikana mpk kaja England,kina Cazorla,Navas,Negredo na kadhalika.

Kaka lkn ukubal kwamba SUAREZ n mkal kuliko COSTA mbal na vyombo vya habar
 
After Messiah,Ronaldo then SUAREZ! SUAREZ HALIKOSA GAME 5 ZA KWANZA NA HAJAFUNGA KTK MECHI ZAID YA NNE(v man CTY, v man u, v Ars,Aston Vila)ANAWAONGOZA HAO WOTE KTK GOLDEN BOOT. 22 AKIFUATIA CR7 21.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom