Tusipende Kuwa wa nazi jamani mwaka Jana mbona nilisema robin van Parsie mkali? Tusipende kucheka kitu bila sababu sababu tunaongelea Costa na Suarez tu seem ukweli mbona striker zenu haziwafungi hao vibao de kwahiyo inamaanisha wabovu ? Kama alivyo Benteke sasa hivi? suarez kamzidi hata Assist Huyo Costa hata welbeck tukitoa unazi mkali zaidi ya ma striker wote wanaochezea Chelsea na nimesema sio kwa kuichukia Chelsea kwa ukweli.