Sijui kama unakijua unachokiongea...Kumbe Suarezi ni kifo tayari?...Sasa kwa akili yako kifo na Usingizi bora kipi? Au kwakuwa ukishakufa unaenda Peponi? Kukutana na mabikra?...KheheheeeMnafananisha kifo ( Suarez) na Usingizi ( d Costa)!!!! AfterMessi&Ronaldo anayefuata ni L Suarez!! Kushindwa kuzifunga timu kubwa ni jitihada ya hzo timu KUMCHUNGA KM HEWA YA OXYGEN! AMEKUJA ENGLAND 2011 JAN,alichowafanya man u mpaka dirk kuyt anafunga 3pekeyake Natumai unakumbuka., Game aliyomng'ata ivanovic alifunga kwa kichwa na game kuisha. 2-2!man cty ameshamfunga Joe Hart kwa faulo zaid ya mita 27 toka golini! Mancini analijua hili.MWACHE SUAREZ AITWE SUAREZ NDG
Diego Costa ni Mbrazili kwa kuzaliwa. Akachukua uraia wa Spain. Kwakuwa Brazil walileta dharau dogo akawatosa kuichezea timu ya Taifa lake, akasema ataichezea Spain...so angalia records zake Spain, ingawa amekuwa ruled out for Injuryhuyu diego costa anachezea tmu ya taifa gani? na alishawahi kuitwa kweli?
ok!ngoja tusubiri june sio mbali tuombe uzima ndugu yangu
magoli yenyewe dhidi ya cardf,c'palac,na vbnd vngne!y acfunge dhdi ya man u,arsnl,chelsea,man cty na tm kubwa nyngne?pumbv 2 hy hana lolt
huyu diego costa anachezea tmu ya taifa gani? na alishawahi kuitwa kweli?
Ndo tatizo la kumsikiliza sana shaffih dauda na sport xtra..alo kwambia uruguay awatacheza wc nani..unajifanya kunjua diego saana wakati mtu mwenyew umeanza kumfaham kipindi hiki cha tetesi za usajili..suarez ni bonge la striker wewe and he is doing everythng for u haters..na ndo maana beside all aloyafanya mashabiki wa england walikosa jinsi waka mvotia na akapewa tuzo,22 goals in 16 matches.. unamfananisha na van persie alofunga 28 msimu mzima..?unahitaji drip ya glucose c bure.
kaka Uruguay wako kundi moja na England
si bure umechanganyikiwa!tusubiri june nimekwambia
Kama unasubiria mpaka june kuuona ubora wa suarez,utasubiri sana.:
Diego Costa ni Mbrazili kwa kuzaliwa. Akachukua uraia wa Spain. Kwakuwa Brazil walileta dharau dogo akawatosa kuichezea timu ya Taifa lake, akasema ataichezea Spain...so angalia records zake Spain, ingawa amekuwa ruled out for Injury
magoli yenyewe dhidi ya cardf,c'palac,na vbnd vngne!y acfunge dhdi ya man u,arsnl,chelsea,man cty na tm kubwa nyngne?pumbv 2 hy hana lolt
Zombi anaonea timu ndogo ndogo tu, hivyo Costa anatisha zaidi.
unataka wenzio wakeshe online 24hrs bureWork online and earn up to $1100 guaranteed per week through telexfree.
Be free to call and ask how it operates!
0714443969
Sio mchezaji pekee duniani....only england tu..!kina Ronaldo la liga wanapiga hata miezi miwili mfululizo.