FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Ndio maana watu huwa wanajitoa muhanga ..
Kwa Bunge lilivyosasa si sheria zote zinazopitishwa Bungeni wabunge walikubaliana nazo bali wanatimiza wanachotaka watawala. Kwa hii sheria ya mifuko ya jamii tutahitaji HANSARD ili kila mwanajimbo ajiu mbunge wake alichangia nini. Mlioko mjengoni tunaomba HANSARD za mjadala wa sheria ya mifuko ya jamii
This is ridiculous! Vijana wa sasa tunaishi leo siyo kesho. Wengi hutuna mpango wa kufanya kazi za kuajiriwa hadi kustaafu bali tunatafuta mitaji tujiajiri. Hivi serikali inapopiga kelele watu wajiajiri bila kuwapa mitaji wanategemea nini?Sisi wengine tunategemea michango yetu iwe mitaji mambo ya kufikisha miaka 60 ni mawazo mufilisi kabisa na haikubaliki! Kama serikali inajali wastaafu ingeonesha mfano kwa wazee wa Africa masharika wanaopuliziwa maji ya kuwasha kila siku. Kwa hili serikali ya CCM iwe makini kama inataka kuendelea kututawala. Hivi inawezekana kukopeshwa nyumba ya m.60 au 80 wakati umechangia m. 10 au 15 tu? Kwa wale wanaocha kazi na kujiunga na mashirika ya kimataifa yenye mifumo yao ya pension kama UN, AfDB,WB na mengineyo na wale wanakwenda kufanya kazi nje ya nchi inakuwaje? Hii SSRA naona inajitahidi kuiondoa CCM madarakani!!! Kwa hili wafanyakazi tupo pamoja!!!!!
Hiki ni kipimo kwa wabunge wote!Ngoja tuone hiyo saa saba yatajiri mambo gani.
wabunge wa CCM hawakumzomea Lissu kwa vile hoja ilipitishwa na bunge! Walichowaza ni kama vile mh Lissu anataka kuiteka hoja yao ambayo imetolewa na mh Jaffo mbunge wa kisarawe.
Kwa Bunge lilivyosasa si sheria zote zinazopitishwa Bungeni wabunge walikubaliana nazo bali wanatimiza wanachotaka watawala. Kwa hii sheria ya mifuko ya jamii tutahitaji HANSARD ili kila mwanajimbo ajiu mbunge wake alichangia nini. Mlioko mjengoni tunaomba HANSARD za mjadala wa sheria ya mifuko ya jamii
CCM ni matapeli, inawezekana mswaada uliokuwa umepelekwa Bungeni ni mwingine na alio saini rais na kuwa sheria ni kitu kingine, Haiwezekani mswaada kama ule upite ukiidhinisha dhuluma kwa wafanyakazi wake
ni kweli maswali hapa inabidi yaongezeke juu ya suala hili!Wengi wanashangaa ilikuwae wabunge wa so called upinzani hawakuliona hili kabisa!!!!! Ukweli ni kuwa, Serikali inawajua vizuri hawawabunge na inaelewa jinsi ya kuwa tune, waliporushiwa fupa la tume ya katiba wakasahau kila linaloletwa bungeni.
bahati nzuri mi ninayo..hii hapa..hicho kipemgere cha kuzuia mafao ya wafanyakazi kimechomekwa baada ya sheria kupita
kwani wewe mgeni nchi hii!!!??View attachment 59943
Amini usiamini hiki kipengere kimemekwa baada ya sheria kupita mimi nilifuatilia kusikiliza bunge hii hoja ilipopelekwa bungeni april 2012 hakikuwepo wala wabunge hawakujadili.Kinachogomba hapa hawa wabunge wetu hajajua wajibu wao.Wanatakiwa kufuatilia kila sheria zinaposainiwa na mkulu kuona kama inafanana na ya mwanzo.Inabidi wabunge wafuatilie ili kama ikionekana kilichopmekwa wai-task serikali kwa forgery
kwani wewe mgeni nchi hii!!!??View attachment 59943
Hoja ililetwa na mhe.Jafu wa ccm;sawa ila waliyosema ndiyo kipindi cha bunge la April walikuwa wengi which means ni ccm ndio waliikubali mswada huo upite coz ndio wengi bungeni.Kuna wa kuwazuia ccm wasipitishe wanachokitaka bubgeni?