Suala ya Pensheni laibuka Bungeni, Lissu na Zitto watoa hoja, Mhagama ataka lijadiliwe kikamati

Nimesema katika hili sitamsamehe mbunge yeyote mpaka pale hii sheria itakapobadilishwa,haiwezekani
mkacheza na maisha yetu kiasi hiki."Ee Mungu tutetee watanzania hii sheria ya kinyonyaji na kiwizi ibadilishwe"
 
Tatizo ni ushabiki wa Vyama...CCM wako kichama zaidi Bungeni badala ya hoja...Sheria ya Mifuko ya Jamii ilipitishwa na Bubge kwa sababu ya uwingi wa Wabunge wa CCM na ndio walioipitisha...

Tunaposema ilipitishwa na Bunge naomba tunarrow down tukumbuke kuwa wabunge wengi wa upinzani hasa CHADEMA na NCCR hupinga ila uchache wao unawaponza, sasa unaweza ukaona madhara yake
 
Schedule of amendments "Tano, kuruhusu mwajiriwa aliyeacha kazi na kutokuwa mwanachama kwa kipindi fulani kurudia uanachama wake baada ya kuajiriwa tena kwa Mfuko wa PPF".
 
bahati nzuri mi ninayo..hii hapa..hicho kipemgere cha kuzuia mafao ya wafanyakazi kimechomekwa baada ya sheria kupita

Mkuu Edson, naona kama nachanganyikiwa,kipengele kimechomekwa baada ya sheria kupita,hivi kama ni kweli,
basi Mnyika aombwe msamaha sana na wote waliomlaumu kwa kauli yake kuwa "Tumefika hapa kwa sababu ya
UDHAIFU wa Rais na uzembe wa Bunge." Ni kweli kabisa.
 
Hivi hiki kitu kinawezekanaje? Kama ni hivyo bunge inabidi liwe makini maana hii ni mara ya pili. Je kuna mangapi ambayo hayajawekwa wazi? All in all mtu asiniwekee masharti kwenye mpunga wangu.

Mambo ya kujidai kufikiria uzee wangu hayawahusu kabisa. Kwa nini wasifikirie wakulima wakizeeka itakuwaje badala yake wanahangaika na wafanyakazi tu!

Kwanza mimi naona hii mifuko ingekuwa ya hiyari na wala siyo kulazimishana.
bahati nzuri mi ninayo..hii hapa..hicho kipemgere cha kuzuia mafao ya wafanyakazi kimechomekwa baada ya sheria kupita
 
Kwa Bunge lilivyosasa si sheria zote zinazopitishwa Bungeni wabunge walikubaliana nazo bali wanatimiza wanachotaka watawala. Kwa hii sheria ya mifuko ya jamii tutahitaji HANSARD ili kila mwanajimbo ajiu mbunge wake alichangia nini. Mlioko mjengoni tunaomba HANSARD za mjadala wa sheria ya mifuko ya jamii

Hansard hii hapa mkuu, siyo mpaka mjengoni, hebu isome mwenyewe.
 
Jamani nimetumia masaa mawilii kuisoma tena ile Hansard ya bunge iliyopitisha huo mswada.
HAKUNA kipengele kilichosema mwanachama asiruhusiwe kuchukua mafao yake, wabunge hawakupitisha sheria hiyo.

Nakubaliana na mdau Edson na REMSA kipengele hicho kilichomekwa baada ya bunge kupitisha.
kama kuna Mbunge yeyote mzalendo anasoma hii thread naomba hiyo saa7 aliseme hili. SSRA wameitapeli Bunge na Wananchi kwa ujumla.

Lakini najiuliza Mheshimiwa rais aliwezaje kusaini kitu ambacho hakijapitishwa na Bunge?
 
Wabunge fanyeni kazi iliyowapeleka si kusaka uRAIS.Aliyesema yeye anaweza kuwa rais yuko wapi ajitokeza aSeme alichangia kwenye huu mswaada wa wapiga kura wake wafanyakazi??????????????????????????????????.HANA UADILIFU NI TAPELI TU
 
Itakuwa sheria hii ililetwa wakati wa kujadili posho zao. Jazba ikapanda wakapitisha miswada mingine kama bila kusoma! Wahunia tumbo hao.
 

C.U.F ngangari baaaana

Kwa mtindo huu lazima zipite sheria mbovu na dhaifu, kwa sababu wabunge hawapo makini katika kufuatilia mijadala na mwisho wake wanasema NDIOOOOOOOOO!!!!!! kwa kuwa hajui kilichoongelewa.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Itakuwa sheria hii ililetwa wakati wa kujadili posho zao. Jazba ikapanda wakapitisha miswada mingine kama bila kusoma! Wahunia tumbo hao.
Ililetwa baadaya ya kujadili ule mswaada wa marekebisho ya katiba wabunge wa upinzania walielekeza nguvu zao kwenye huo mswaada na huu wa pension wakaelekeza less effort magamba wapiga bao la kisigino chezea ccm weyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Jamani nimetumia masaa mawilii kuisoma tena ile Hansard ya bunge iliyopitisha huo mswada.
HAKUNA kipengele kilichosema mwanachama asiruhusiwe kuchukua mafao yake, wabunge hawakupitisha sheria hiyo.
Nakubaliana na mdau Edson na REMSA kipengele hicho kilichomekwa baada ya bunge kupitisha.
kama kuna Mbunge yeyote mzalendo anasoma hii thread naomba hiyo saa7 aliseme hili. SSRA wameitapeli Bunge na Wananchi kwa ujumla.
Lakini najiuliza Mheshimiwa rais aliwezaje kusaini kitu ambacho hakijapitishwa na Bunge?
Nimejaribu kutafuta muswada uliokuwa uanajadiliwa sikufanikiwa. Labda huo ungetupatia mwanga wa kilichopitishwa.
 
Ccm hawawezi kudai hoja ni yao wakati ndio waliopitisha hoja hiyo mwezi wa nne,huu ni uhuni na wanataka waonekane wapo makini ilhali ni wasaliti wakubwa kwa wananchi.
 
Tatizo ni ushabiki wa Vyama...CCM wako kichama zaidi Bungeni badala ya hoja...Sheria ya Mifuko ya Jamii ilipitishwa na Bubge kwa sababu ya uwingi wa Wabunge wa CCM na ndio walioipitisha...Tunaposema ilipitishwa na Bunge naomba tunarrow down tukumbuke kuwa wabunge wengi wa upinzani hasa CHADEMA na NCCR hupinga ila uchache wao unawaponza,,,sasa unaweza ukaona madhara yake
uchache wao hauna madhara kama tunavyofikiria,mbona hoja ya katiba mpya ilipita? cha msingi wao watoe kilio cha haki then wananchi tuitikie hicho kilio tuone kama huo wingi wa ndio utashindana na umma.
huu sio wakati ule wa kupelekwa pelekwa wananchi wanajitambua wanahitaji awearenes toka kwa hao wabunge wetu tu.
 
Ccm hawawezi kudai hoja ni yao wakati ndio waliopitisha hoja hiyo mwezi wa nne,huu ni uhuni na wanataka waonekane wapo makini ilhali ni wasaliti wakubwa kwa wananchi.
Soma post number 108 huo mswada umewekwa. Maswala ya pensheni yameanza kujadiliwa kuanzia ukurasa wa55.
 
Mchezo wa Kuigiza tu huu, Serikani inazihitaji hela sana hiyo seria itakuwa ngumu kubadilika tupo hapa mtasikia tu, watakachofanya ni kupunguza mda wa kabla ya kudai, kwa mfano watasema madai yawe miaka 3 baada ya kuacha kazi
 
Back
Top Bottom