johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,023
- 142,067
Wapo Watu Wanainua Taifa Stars kwa sababu tu Rais Samia pamoja na CCM wanaipa hela
Ndio nawajulisha Rais Nguema wa Equetorial Guinea ametoa bonus ya Euro million 1 ( Sawa na tsh bilioni 3) kwa timu ya Taifa lake baada ya kuibamiza Ivory Coast 4-0
Taifa Stars Oyeeeee 😂
Ndio nawajulisha Rais Nguema wa Equetorial Guinea ametoa bonus ya Euro million 1 ( Sawa na tsh bilioni 3) kwa timu ya Taifa lake baada ya kuibamiza Ivory Coast 4-0
Taifa Stars Oyeeeee 😂