Nimesoma katika gazeti la Tanzania Daima asubuhi ya leo, Waziri wa mambo ya ndani Dk Emanuel Nchimbi amenukuliwa akisema sakata la kuvamiwa na kuumizwa vibaya kwa Kibanda hilo ni suala la ngazi za chini, masuala ya ngazi za chini aulizwe Kova. "ngazi za chini"??????????