Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Ndugu yangu, labda kiswahili kinanisumbua, lakini naomba unifafanulie maana ya neno bazazi na kwa nini umeamua kuniita hivyo?
Inaonekana unachanganya mambo kwa sababu unaniweka kana kwamba nilisema kwua nilikwenda kwenye warsha au semina, sikumbuki kulisema hilo!
Bazazi ni JINA. Hebu soma post za juu, kuna member anajiita BAZAZI.