Ni ukosefu wa pesa tu huohata tanzania inewah tokea kitu kama hicho kama picha nitakua bado sijafuta naweza kuziweka hapa
Tanga pia,usiku kwa usiku.Mtwara walikuwa wanasafirisha na baiskeli
Hapana mkuu, naamini hizi mambo hufanyika kwasababu ya umaaikiniUchawi huu
Mkuu...Tabora ni kawaida,wengi wanakuwaga wameshindwa kumudu gharama za usafirishaji inawabidi wafanye hivyo.Tena bora hao wanasafirisha na pikipiki,wengine wanatumia baskeli na ni mwendo mrefu tena usiku wa maneno
Nadhani ni kwasababu ya uogaTanga pia,usiku kwa usiku.
Skonge,kaliua uko na vijiji vingine,wakienda kutibiwa hosp ya rufaa kitete,ikawa bahati mbaya mgonjwa kafariki na pesa ya kusafirisha ni shida inabidi wajipange tu maiti ifike kijijini hata kwa baiskeli,na ni usiku maana mchana ukikamatwa ni kosa hiloMkuu...
Tabora ipi haya hufanyika?