Kaka wewe tena, nakuamini sana hasa mambo ya hela... Hata Nikukupa Millioni 200 najua zitafika salama, ila nikupe shemejio uongozane nae tu!!!! THUBUTU!!!!!!!!!!!
(Sina maana hioooooo!!!!)
Kaka wewe tena, nakuamini sana hasa mambo ya hela... Hata Nikukupa Millioni 200 najua zitafika salama, ila nikupe shemejio uongozane nae tu!!!! THUBUTU!!!!!!!!!!!
(Sina maana hioooooo!!!!)
Mimi nipo sana sema majukumu Mume wangu
Ntuzu kufia wewe kabisa nizeke kwenye pesa zakoKhantwe usimsikilize huyu bhana
Kiwategu Uko wapi mkulu? Yani tangu wakatae posa yako wazazi Wa shansarie na wewe umekosa Amani!
Weka begani usepe neya na Mkuu!
Mokoyo acha na wewe kila wakati kukaa na mkeo ICHANA wewe Hujui Chakula kizuri mule wengi?
miss chagga penda Mie weye! Dah! Asiione Khantwe hii!
do that kwakweli mana haya mambo hayaaaaaa mmhh....kuna dalili ya kufall kwa msukuma mmoja aseeee kwa nje I think he's calm loving caring n the alike but...but..but i dont know him better best maombi yako ni muhimu sana pls.....
Excel nakuja naomba ununue na whisky kabisa nataka kusafisha koomiss chagga njoo nikwambie kitu! come without.... without nauli, ntalipa! lol
hahahahaaaaaaaaaa looh!!Nyie watu nyie Ntuzu, Tized, Kasinde wacheni fujo. Kwanza sina kitambi nina kamwili kadogo dogo muulize hata my wife wangu Dena Amsi na mchepuko wangu miss chagga wanavyoufurahia huu mwili
Uko kimazoezi zaidi na hauhitaji kwenda gym kama Ntuzu anavyopambana kuupunguza wa kwake
halafu mi sina fujo namzidi hata Tized kwa upole ila when it comes to love oohh hapo sina upole wowote ready to fight for that
Naomba tu asijekuwa mume wangu huyo lol
uuuuhhhhhh waaaooow!!! is that an invitation to treat!!?? Lets see what MTZ huyu atasemaje.............
Kwani Tized is inlove with me..........???? mbona....................!!!!!
Mimi ni Tized mwenye wivu, nawapatiliza hadi wana maovu ya baba zao... tafadhali acha kumchombeza Kasinde wangu ki''lake zone lakezone apa'' Understand muraaa?