Stupid things men do in relationship


Tized week ijayo utaenda Moro?
 
Nyie watu nyie Ntuzu, Tized, Kasinde wacheni fujo. Kwanza sina kitambi nina kamwili kadogo dogo muulize hata my wife wangu Dena Amsi na mchepuko wangu miss chagga wanavyoufurahia huu mwili
Uko kimazoezi zaidi na hauhitaji kwenda gym kama Ntuzu anavyopambana kuupunguza wa kwake
halafu mi sina fujo namzidi hata Tized kwa upole ila when it comes to love oohh hapo sina upole wowote ready to fight for that
 
Last edited by a moderator:

aisee mkuu kumbe uko?
Tized aliniambia uko Sudan kusini? ni kweli hivi? lol.
 
Last edited by a moderator:
nakupenda kwa unajielewa
 
aisee mkuu kumbe uko?
Tized aliniambia uko Sudan kusini? ni kweli hivi? lol.

Halafu wewe nilisikia unamfukuzia mtu wangu mmoja humu ndani ndo maana ulikuwa unauliza uliza sana habari zangu
Nipo mkuu Excel na ndo maana nakaba kila kona mke na mke mdogo wakae sawa
 
Last edited by a moderator:



Kasinde umeona sasa kile nilichokua nasema? Huyu bhana KTK swala la kupenda hana mchezo kabisa! Rejea kauli Yangu hapo nyuma Nilikwambia Usiseme sn atafanya kila Hali akutoe kwa Tized
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni Tized mwenye wivu, nawapatiliza hadi wana maovu ya baba zao... tafadhali acha kumchombeza Kasinde wangu ki''lake zone lakezone apa'' Understand muraaa?

Karibia na huku mamii, its much luxurious like Dar to the big extent..

make a trip in one of your holidays mamii.. you will enjoy much!
 
Last edited by a moderator:
Bora mmekuja aisee! Maana huyu Kasinde alikua anachanganyikiwa na anakuonea huruma nikikuita kimbaumbau!


Hahahaaaa!

 
Last edited by a moderator:
Karibia na huku mamii, its much luxurious like Dar to the big extent..

make a trip in one of your holidays mamii.. you will enjoy much!



Amang'ana Mura....!
 
Kasinde umeona sasa kile nilichokua nasema? Huyu bhana KTK swala la kupenda hana mchezo kabisa! Rejea kauli Yangu hapo nyuma Nilikwambia Usiseme sn atafanya kila Hali akutoe kwa Tized


Acha umbea na wewe Ntuzu maana naona hapa unaharibu kwa Kasinde na Tized sasa na utafanya mpaka Tized asinimini mimi ndugu yake
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…