manning
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 5,093
- 11,948
Wakuu naomba mnisaidie hasa wana CCM wenzangu kwa sasa stronghold yetu iko sehemu gani ya Tanzania?. Kwa sababu Visiwani ni CUF wanatamba, kasikazini na kasikazini magharibi ni CDM inatamba Magaribl na kusini magaribi ni CDM na NCCR wanatamia. Kusini kwa gesi haitoki wote tunaelewa , kwa hali ilivyo sasa tunaweza hata tusipate mgombea uchaguzi ukifanyika huko sasa.
Hapo ndipo najiuliza strong hold yetu ni ipi?
Hapo ndipo najiuliza strong hold yetu ni ipi?