Mkuu mikoa ifuatayo ccm iko juu mno na 2015 wala hatutatumia nguvu kubwa kwenyebkampeni: Tanga,Tabora,Singida, Mtwara, Songea, Morogoro, Mwanza(3/4) Musoma (3/4) Bukoba (asilimia 90%), Pwani , Lindi, Iringa( 3/4), Mbeya (1/2) Shinyanga( 1/2) , Arusha (1/4), Kilimanyaro ( 1/2) na mnyara ( 1/2) maeneo yote ambayo sikuweka asilimia ninmaeneo ambay ccm itapata kura za kishindo yaani asilimia tisini na kuendelea. Nyie endeleeni kupiga porojo tu.
Hapo mbeya umedanganya, ccm hata kura 15% hawatafikisha, watu wanajitambua huku