Stronghold ya CCM imebaki sehemu gani?

Stronghold ya CCM imebaki sehemu gani?

iliyobaki ipo kwa shetani (mrusha mabomu )
 
...

msoga tu.....

hata hapo pana tatizo kidogo kuwaamini kwani wamesha funguka. Lumumba penyewe wamepasuka, Mwingulu na shza walisema Arusha yote wanachukua kwa kishindo hii ndiyo sumu itakayo iua ccm. Bado wanadhani Watanzania wa leo ni wale wale wa kanga na green vest yenye sanamu ya mtu nyuma. Poleni.
 
hata hapo pana tatizo kidogo kuwaamini kwani wamesha funguka. Lumumba penyewe wamepasuka, Mwingulu na shza walisema Arusha yote wanachukua kwa kishindo hii ndiyo sumu itakayo iua ccm. Bado wanadhani Watanzania wa leo ni wale wale wa kanga na green vest yenye sanamu ya mtu nyuma. Poleni.

ina maana hata Iramba tayari imechukuliwa na wapinzani? si mmesikia jana Mwigulu anawaonya watu wa Iramba kuwa wataoishabikia CHADEMA wataipata freshi na yatakayoyapata wasilaumu mtu je hapo bado vyama vya upinzani vina chake?
 
Israel Mulongo AU ISRAEL Bunamba wa RTD singida?
eehee tena huyo MULONGO ndiyo ISRAEL mwenyewe . nakupa tu taarifa sasa hivi CCM hawana pa kutokea yaani wamefika mahali NO BORDER NO ENTRY
 
eehee tena huyo MULONGO ndiyo ISRAEL mwenyewe . nakupa tu taarifa sasa hivi CCM hawana pa kutokea yaani wamefika mahali NO BORDER NO ENTRY

HA HA HA HA HA masikini mbavu zangu teh teh teh......
 
Wakuu naomba mnisaidie hasa wana CCM wenzangu kwa sasa stronghold yetu iko sehemu gani ya Tanzania?. Kwa sababu Visiwani ni CUF wanatamba, kasikazini na kasikazini magharibi ni CDM inatamba Magaribl na kusini magaribi ni CDM na NCCR wanatamia. Kusini kwa gesi haitoki wote tunaelewa , kwa hali ilivyo sasa tunaweza hata tusipate mgombea uchaguzi ukifanyika huko sasa.
Hapo ndipo najiuliza strong hold yetu ni ipi?

Kwa wauza unga.
 
Sehemu zenye njaa kali sana kama maeneo ya IRAMBA , kondoa na yale maeneo ambayo kilo ya sukari au unga ni habari , mtaji mkubwa sana wa ccm ni zile sehemu zenye jamii duni sana kama vile Monduli , maeneo yenye elimu duni ndiyo ngome yao , hebu fuatilia elimu ya wajumbe wao wa nyumba 10 au hata wenyeviti wa matawi yao , wengi wao hawajui kusoma na hata kuandika !

...kumbe "ccm" wakiwapa elimu mnawakimbia! Mi nilidhani wasio na elimu au maendeleo ndio wangekuwa wa kwanza kuchagua upinzani.
 
Wakuu naomba mnisaidie hasa wana CCM wenzangu kwa sasa stronghold yetu iko sehemu gani ya Tanzania?. Kwa sababu Visiwani ni CUF wanatamba, kasikazini na kasikazini magharibi ni CDM inatamba Magaribl na kusini magaribi ni CDM na NCCR wanatamia. Kusini kwa gesi haitoki wote tunaelewa , kwa hali ilivyo sasa tunaweza hata tusipate mgombea uchaguzi ukifanyika huko sasa.
Hapo ndipo najiuliza strong hold yetu ni ipi?
Stronghold ya CCM imebaki kwenye wizi wa kura tu
 
Magogoni, PoliCCM na Usalama wa taifa ndo iliko ngome ya CCM!!!!

kuna jamaa ameniibox hapa na kusema kuwa strong hold yao ni Arusha Moshi na Mwanza il abado wanatafakari mbinu mpya ya CHADEMA ya wizi wa kura katika mikoa hiyo kama CHADEMA ilivyoiba kura kiana hivi karibuni Arusha.
 
ina maana hata Iramba tayari imechukuliwa na wapinzani? si mmesikia jana Mwigulu anawaonya watu wa Iramba kuwa wataoishabikia CHADEMA wataipata freshi na yatakayoyapata wasilaumu mtu je hapo bado vyama vya upinzani vina chake?

hayo yalikuwa maneno ya hasira za Mh. Mchemba baada ya kukuta watu wasiozidi 45 pamoja na waandishi wake anao wapa buku 7. Ukumbi aliokodisha ukamdodea, viti vikamwangalia, We ni mgeni wa Wa-Tz wa leo? Nani anatamani siasa za maji taka na matusi? Wakamwuliza mijitusi hiyo inaleta maendeleo gani Iramba? Je, tulikuchagua ukawe muuza matusi majimboni? Mh. Kimyaaaa. Kama kawa yao akaamka na hayo matishio. Acha Banaaa, Ungekuwapo ungemhurumia alivyotoa povu. Tesha pia hakuhudhuria angewaonyesha mfano. Iramba hiyoooo cdm 2015.
 
hayo yalikuwa maneno ya hasira za Mh. Mchemba baada ya kukuta watu wasiozidi 45 pamoja na waandishi wake anao wapa buku 7. Ukumbi aliokodisha ukamdodea, viti vikamwangalia, We ni mgeni wa Wa-Tz wa leo? Nani anatamani siasa za maji taka na matusi? Wakamwuliza mijitusi hiyo inaleta maendeleo gani Iramba? Je, tulikuchagua ukawe muuza matusi majimboni? Mh. Kimyaaaa. Kama kawa yao akaamka na hayo matishio. Acha Banaaa, Ungekuwapo ungemhurumia alivyotoa povu. Tesha pia hakuhudhuria angewaonyesha mfano. Iramba hiyoooo cdm 2015.

hilo la Iramba kwenda CDM sahau kabisa . Mimi nilifikiri mtapata busara baada ya rafiki yenu na pia mpiga kampeini kwa rafiki yenu mwingine wa Kenya kushughulikiwa kwa dhati na kikongwe wa Zimbabwe. Kwa matokeo ya Zimbabwe jamani mtulie kwa mwendo wa daktari kuwapiga dawa chungu kama x-pen lakini inatibu mapema , hebu mtulie dawa iingie vizuri
 
ina maana hata Iramba tayari imechukuliwa na wapinzani? si mmesikia jana Mwigulu anawaonya watu wa Iramba kuwa wataoishabikia CHADEMA wataipata freshi na yatakayoyapata wasilaumu mtu je hapo bado vyama vya upinzani vina chake?

Hakuna anayemsikiliza huyo jamaa bhana , japo inasemekana ana ujuzi hata wa KUPULIZA !
 
Ni ukweli usiopingika kuwa CHADEMA haijulikani sana vijijini ila mijini tu! Stronghold ya CCM ni vijijini kwa karibu asilimia 75%
 
...kumbe "ccm" wakiwapa elimu mnawakimbia! Mi nilidhani wasio na elimu au maendeleo ndio wangekuwa wa kwanza kuchagua upinzani.

mjomba , elimu ni haki ya msingi kabisa wala siyo msaada ! Wale wamasai wamekataa wenyewe wakachagua kuchunga , ona sasa wanatumika kwa gharama ya mishikaki na pombe za asili , SHAME ON THEM !
 
Back
Top Bottom