babe huu ujumbe ni wangu au???Nafuta picha, msgs, zawadi zako ulizonipa nazitia moto huku nahakikisha vimebaki majivu, namba sifuti sikublock utatoka from bae kua unknown so quick, headset masikioni nasikiliza music huku nikikubali kua tumemalizana
Hapana mie mejibu tu wako kwan tumeachana??? Unawaza kuachana na mm??? Futa hilo wazobabe huu ujumbe ni wangu au???
HahahaaaNadhani mko salama kabisa.
Mimi nikiwa na stress za kuachwa au kukataliwa kwanza nafuta namba ha huyo mtu, narestore simu kabisa![]()
Naingia chumbani kwangu, nafanya usafi, nafua, napika nakula chakula kizuri ninachopendelea.
Natoka naenda shopping huko naenda nunua kila ninachohitaji, nitanunua shuka, nguo, kila kitu hadi na ambavyo sivihitaji![]()
Nikirudi nyumbani nafanya usafi tena mara ya pili naoga, nakaa sasa naangalia movie na series.
Hapo sasa nakuwa afadhali stress zimepungua.
Vipi kwako mdau wa JF ni kitu gani unafanya ukiwa na stress za kuachwa/ kukataliwa?
mbona umenikwot mimi insteadHapana mie mejibu tu wako kwan tumeachana??? Unawaza kuachana na mm??? Futa hilo wazo
Kukuwot haimanishi n ujumbe wako hunmbona umenikwot mimi instead
we haya tuKukuwot haimanishi n ujumbe wako hun
Mesema kwa upande wangu kama ambavyowe uejibu upande wako hunwe haya tu
nimesema hayaMesema kwa upande wangu kama ambavyowe uejibu upande wako hun
Mhh aya bwananimesema haya
Duh uko vizuri kama daladala vile! Akitoka mtu anapanda mtu...!Mimi nikiachwa na install mwanaume mpya hap hapo
Mm huwa nikiachwa naenda kununua kamba mpya nakuja nafunga kwenye mti kisha naikaza kabisa alafu naanza kubembea kwa raha zangu








Dah umeuahahaaa haaahaMm huwa nikiachwa naenda kununua kamba mpya nakuja nafunga kwenye mti kisha naikaza kabisa alafu naanza kubembea kwa raha zangu
aiseeeMimi End of the road wa Boys II men
HahahaMm huwa nikiachwa naenda kununua kamba mpya nakuja nafunga kwenye mti kisha naikaza kabisa alafu naanza kubembea kwa raha zangu

yaani shangaa wewe sasaHivi kwanini uachwe...!??
Kwanini usubiri hadi uachwe.. !?
Kwanini msiachane!??
kuna mmoja aliniacha miaka miwili iliyopita,awamu ya hapa kazi akawa anajichekesha,sasa ana mimba ya miezi mitatu..atapata tabu sana,ndo atajua mwanaume jinzi haishi fasheni,nambinua tu na mimba yake
daah ila wanawake jmn na mimba yke bdo anaachia mzgo nje