Stress za kuachwa

Stress za kuachwa

Nikiachwa au nikiacha? Sijawahi kuona hayo matendo!!
 
Nafuta picha, msgs, zawadi zako ulizonipa nazitia moto huku nahakikisha vimebaki majivu, namba sifuti sikublock utatoka from bae kua unknown so quick, headset masikioni nasikiliza music huku nikikubali kua tumemalizana
babe huu ujumbe ni wangu au???
 
Nadhani mko salama kabisa.

Mimi nikiwa na stress za kuachwa au kukataliwa kwanza nafuta namba ha huyo mtu, narestore simu kabisa

Naingia chumbani kwangu, nafanya usafi, nafua, napika nakula chakula kizuri ninachopendelea.

Natoka naenda shopping huko naenda nunua kila ninachohitaji, nitanunua shuka, nguo, kila kitu hadi na ambavyo sivihitaji

Nikirudi nyumbani nafanya usafi tena mara ya pili naoga, nakaa sasa naangalia movie na series.

Hapo sasa nakuwa afadhali stress zimepungua.

Vipi kwako mdau wa JF ni kitu gani unafanya ukiwa na stress za kuachwa/ kukataliwa?
Hahahaaa
 
Mimi huwa naingia JF katika jukwaa letu Pendwa la mahusiano nachat humu mpaka najisahau kabisa. Nikihisi kumbukumbu zake zinarudi nawapigia wadada ambao ni washkaji zangu alafu tunatalk romantic sana finaly najikuta nimemsahau. Alafu nakaa miaka mitano ndo narudi tena mchezoni haha asira za kirangi acha tu
 
hatari mnooo hayo mambo ya kuachwa asikwambie mtu ".. Ila Mimi kutokana na experience niliyonayo " huwaga sisubiri mambo mpaka yazidi kwenda kombo "
nikiona viashiria vya ajabu ajabu toka kwa mwenzangu ambavyo hakuwaga navyo awali " vinavyoashiria " mabadiliko " yakutokuwepo " uaminifu" huwa naanza" kujitenga Kama maji kwenye mafuta "" Kama hanipigii Mara kwa Mara. " Kama ilivyokuwa awali " na Mimi simpigii " Kama hanifuati " na Mimi simfuati " yaani hivyo " mwisho wasiku Kama alikuwa na dhamira ya kuniacha " inakuwa tumeachana " yaani nikiona tu umeanza kunipotezea " na Mimi nakupotezea aiseee"" ili kuepusha mtafaluku
 
kuna mmoja aliniacha miaka miwili iliyopita,awamu ya hapa kazi akawa anajichekesha,sasa ana mimba ya miezi mitatu..atapata tabu sana,ndo atajua mwanaume jinzi haishi fasheni,nambinua tu na mimba yake
daah ila wanawake jmn na mimba yke bdo anaachia mzgo nje
 
Back
Top Bottom