akiniacha eti hataki kavulana nkasema haya angejua sio kwamba ndio alikuwa wangu pekee nip nae tu nasogeza siku..baaad aya mwezi nanusu nikamwambi namkumbukaga bado yuko akilini ,,,akasem aoh kweli mara tulipishana mawazo tu blah blah karudi kajaa...tunagegedana tena weee,...sa hivi mimi nina zaidi ya miezi mitatu sijawahim text wala mpigia..ye alitext alipiga nakuwa busy hata sipikei wala kujibu..text ya mwisho aliuliza alinkosea alinkosea nin nikataka kujibu wala hakukosea nkaamua hapana nkamute tena..mpaka leo nazwaza nini kimefanya animemute...ila nachojuamwanaume haachwi....na hata hivo anaachwa tu kama ameoa na mke kamkimbia...nje ya hapo hapana