Strategy ya Lissu Kanda ya Ziwa ina mapungufu kidogo

Keynez

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
2,397
3,884
Nianze kwa kusema, wote tunajua strategy ya ushindi wa Magufuli toka uchaguzi wa 2015 na hata uchaguzi huu wa 2020 imejikita kuhakikisha anazoa kura za kutosha kutoka kwa Wasukuma.

Natambua huko Kanda ya Ziwa kunajumusha pia mikoa ya Kagera na Mara ambako nadhani Lissu anaenda kufanya vizuri sana.

Wasiwasi wangu upo kwenye kuwashawishi Wasukuma wamuache yule anayejitanabaisha kama mwenzao. Kila akipata upenyo, Magufuli anakitwanga Kisukuma, na hafanyi hivi kwa bahati mbaya.

Magufuli anaweza kuwa hajui Kiingereza na hana exposure sana ya mambo ya kimataifa ila anayaelewa sana mambo ya makabila. Hata yale aliyoyakwaza amefanya hivyo akiwa anajua anawakwaza. Labda anaona hawahitaji.

Ushauri wangu kwa timu ya kampeni ya Lissu, kama muda bado unaruhusu, na nyie mkiwa mikoa hiyo yenye Wasukuma wengi, anzeni kutwanga lugha yao. Lissu jifunze maneno mawili matatu hata ya kuwachekesha tu, yatasaidia.

Kwenye issue za sera, waambieni hayo hayo mnayowaambia sasa ila katika lugha yao. Watawaamini zaidi. Waambieni pia kuna wanasiasa wanataka kuwatumia tu kama chambo.
 
Ushauri wangu kwa timu ya kampeni ya Lissu, kama muda bado unaruhusu, na nyie mkiwa mikoa hiyo yenye Wasukuma wengi, anzeni kutwanga lugha yao. Lissu jifunze maneno mawili matatu hata ya kuwachekesha tu, yatasaidia.
Hii ni mzuri sana
 
Agenda ya ukabila imefeli vibaya kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Watanzania wote wamegundua shida haina Kabila Ndo mana wameamua kumuumga mkono Tundu Antiphas Lissu kwa nguvu zote.

Lissu anaenda kuzoa kura za kimbunga kanda ya ziwa mwaka huu. Lissu yuko na Mungu Ndo mana magufuli na mbinu zake zote wanafeli mwaka huu
 
Wee mburula kweli! Kwani wasukuma hawajaathirika na utawala wa Magufuli?

Katika watu walioumizwa sana na Magufuli ni wasukuma. Mifugo yao imetaifishwa, nyavu zao zimechomwa Moto, wachimbaji wadogo wamekuwa wakifukuzwa kama vibaka na wengi wao wameuawa kama digidigi na utawala huu!

Sasa wamchuguwe kwa sababu ya usukuma wake! Watakuwa watu wajinga kuliko maelezo!
 
FB_IMG_16010397801561472.jpg
 
Wote mliochangia siwapingi. Ulikuwa tu ni ushauri. Inabidi juhudi za ziada zifanyike ili kuzigawa kura za Wasukuma.

Nimetoka kuangalia video hii hapa chini, nimeona amewasalimu kwa lugha yao, hapo safi. Kilichobaki, wale wanaobaki huko Sukumaland kuendelea na kampeni, wajaribu kuzingatia ushauri wangu.

 
Usiwadanganye!

Unataka ku balance mambo wewe!
Ukabila hautakiwi maana ni hatari kwa uhai wa taifa
Nianze kwa kusema, wote tunajua strategy ya ushindi wa Magufuli toka uchaguzi wa 2015 na hata uchaguzi huu wa 2020 imejikita kuhakikisha anazoa kura za kutosha kutoka kwa Wasukuma.

Natambua huko Kanda ya Ziwa kunajumusha pia mikoa ya Kagera na Mara ambako nadhani Lissu anaenda kufanya vizuri sana.

Wasiwasi wangu upo kwenye kuwashawishi Wasukuma wamuache yule anayejitanabaisha kama mwenzao. Kila akipata upenyo, Magufuli anakitwanga Kisukuma, na hafanyi hivi kwa bahati mbaya.

Magufuli anaweza kuwa hajui Kiingereza na hana exposure sana ya mambo ya kimataifa ila anayaelewa sana mambo ya makabila. Hata yale aliyoyakwaza amefanya hivyo akiwa anajua anawakwaza. Labda anaona hawahitaji.

Ushauri wangu kwa timu ya kampeni ya Lissu, kama muda bado unaruhusu, na nyie mkiwa mikoa hiyo yenye Wasukuma wengi, anzeni kutwanga lugha yao. Lissu jifunze maneno mawili matatu hata ya kuwachekesha tu, yatasaidia.

Kwenye issue za sera, waambieni hayo hayo mnayowaambia sasa ila katika lugha yao. Watawaamini zaidi. Waambieni pia kuna wanasiasa wanataka kuwatumia tu kama chambo.
 
Wee mburula kweli! Kwani wasukuma hawajaathirika na utawala wa Magufuli?

Katika watu walioumizwa sana na Magufuli ni wasukuma. Mifugo yao imetaifishwa, nyavu zao zimechomwa Moto, wengi wao wameuawa na utawala huu!

Sasa wamchuguwe kwa sababu ya usukuma wao! Watakuwa watu wajinga kuliko maelezo!
Poti umeanza vibaya,unaitaje wenzio mburula??mkoa wetu mburula ni wandali na wasafw
 
Kwenye issue za sera, waambieni hayo hayo mnayowaambia sasa ila katika lugha yao. Watawaamini zaidi. Waambieni pia kuna wanasiasa wanataka kuwatumia tu kama chambo.
poor assessment
utakua ni wewe ndie uliemwambia lissu avae kanzu na baraghashia
 
Nianze kwa kusema, wote tunajua strategy ya ushindi wa Magufuli toka uchaguzi wa 2015 na hata uchaguzi huu wa 2020 imejikita kuhakikisha anazoa kura za kutosha kutoka kwa Wasukuma.

Natambua huko Kanda ya Ziwa kunajumusha pia mikoa ya Kagera na Mara ambako nadhani Lissu anaenda kufanya vizuri sana.

Wasiwasi wangu upo kwenye kuwashawishi Wasukuma wamuache yule anayejitanabaisha kama mwenzao. Kila akipata upenyo, Magufuli anakitwanga Kisukuma, na hafanyi hivi kwa bahati mbaya.

Magufuli anaweza kuwa hajui Kiingereza na hana exposure sana ya mambo ya kimataifa ila anayaelewa sana mambo ya makabila. Hata yale aliyoyakwaza amefanya hivyo akiwa anajua anawakwaza. Labda anaona hawahitaji.

Ushauri wangu kwa timu ya kampeni ya Lissu, kama muda bado unaruhusu, na nyie mkiwa mikoa hiyo yenye Wasukuma wengi, anzeni kutwanga lugha yao. Lissu jifunze maneno mawili matatu hata ya kuwachekesha tu, yatasaidia.

Kwenye issue za sera, waambieni hayo hayo mnayowaambia sasa ila katika lugha yao. Watawaamini zaidi. Waambieni pia kuna wanasiasa wanataka kuwatumia tu kama chambo.
Kuomba kura kwa lugha isiyo rasmi ni kuvunja sheria , Lissu anaheshimu sana sheria za nchi
 
Nianze kwa kusema, wote tunajua strategy ya ushindi wa Magufuli toka uchaguzi wa 2015 na hata uchaguzi huu wa 2020 imejikita kuhakikisha anazoa kura za kutosha kutoka kwa Wasukuma.

Natambua huko Kanda ya Ziwa kunajumusha pia mikoa ya Kagera na Mara ambako nadhani Lissu anaenda kufanya vizuri sana.

Wasiwasi wangu upo kwenye kuwashawishi Wasukuma wamuache yule anayejitanabaisha kama mwenzao. Kila akipata upenyo, Magufuli anakitwanga Kisukuma, na hafanyi hivi kwa bahati mbaya.

Magufuli anaweza kuwa hajui Kiingereza na hana exposure sana ya mambo ya kimataifa ila anayaelewa sana mambo ya makabila. Hata yale aliyoyakwaza amefanya hivyo akiwa anajua anawakwaza. Labda anaona hawahitaji.

Ushauri wangu kwa timu ya kampeni ya Lissu, kama muda bado unaruhusu, na nyie mkiwa mikoa hiyo yenye Wasukuma wengi, anzeni kutwanga lugha yao. Lissu jifunze maneno mawili matatu hata ya kuwachekesha tu, yatasaidia.

Kwenye issue za sera, waambieni hayo hayo mnayowaambia sasa ila katika lugha yao. Watawaamini zaidi. Waambieni pia kuna wanasiasa wanataka kuwatumia tu kama chambo.
Asante kwa ushauri mkuu. Ni mawazo mazuri kutoka kwenye roho yenye heri na matashi mema. Ila mkuu, uchaguzi huu ni wa kihistoria. Magufuli hata Chato hatoboi. Kuna chuki huko imeibuka usiseme. Kweli wahenga walisema "mali za juha huliwa na mweledi" na "maisha bila busara ni hasara".
 
Strategist/s wa Lissu a/wa/mempotosha kweri kweri kwa kumfanya ang'ang'anie Kanda ya Ziwa. Matokeo yake, atakosa kura za Kanda nyingine maana watahisi hawana umuhimu kwake na atazikosa za Kanda ya Ziwa pia maana sisi tuliishamchagua JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI (JIWE)!!!!!!
 
Nianze kwa kusema, wote tunajua strategy ya ushindi wa Magufuli toka uchaguzi wa 2015 na hata uchaguzi huu wa 2020 imejikita kuhakikisha anazoa kura za kutosha kutoka kwa Wasukuma.

Natambua huko Kanda ya Ziwa kunajumusha pia mikoa ya Kagera na Mara ambako nadhani Lissu anaenda kufanya vizuri sana.

Wasiwasi wangu upo kwenye kuwashawishi Wasukuma wamuache yule anayejitanabaisha kama mwenzao. Kila akipata upenyo, Magufuli anakitwanga Kisukuma, na hafanyi hivi kwa bahati mbaya.

Magufuli anaweza kuwa hajui Kiingereza na hana exposure sana ya mambo ya kimataifa ila anayaelewa sana mambo ya makabila. Hata yale aliyoyakwaza amefanya hivyo akiwa anajua anawakwaza. Labda anaona hawahitaji.

Ushauri wangu kwa timu ya kampeni ya Lissu, kama muda bado unaruhusu, na nyie mkiwa mikoa hiyo yenye Wasukuma wengi, anzeni kutwanga lugha yao. Lissu jifunze maneno mawili matatu hata ya kuwachekesha tu, yatasaidia.

Kwenye issue za sera, waambieni hayo hayo mnayowaambia sasa ila katika lugha yao. Watawaamini zaidi. Waambieni pia kuna wanasiasa wanataka kuwatumia tu kama chambo.
Huu unaoshauri hapa ni ukabila mbaya, kabisa, Wasukuma sio wakabila ndio maana Usukumani tumechagua wabunge kibao ambao sio Wasukuma!.
Magufuli atachaguliwa na Watanzania kwasababu amekubalika kwa uchapakazi wake na sio kwasababu ni Msukuma!.
P
 
Asante kwa ushauri mkuu. Ni mawazo mazuri kutoka kwenye roho yenye heri na matashi mema. Ila mkuu, uchaguzi huu ni wa kihistoria. Magufuli hata Chato hatoboi. Kuna chuki huko imeibuka usiseme. Kweli wahenga walisema "mali za juha huliwa na mweledi" na "maisha bila busara ni hasara".

Sawasawa. Nakubali kuwa watu wana machungu mengi na kuwa uchaguzi huu una upekee, ila katika vita hii zana zote inabidi zitumike. Upande wa pili hawajaacha zana zozote katika box, wanatumia kila walichonacho, hata hawaoni soni kuvunja sheria waziwazi.

Lissu akifanya kile kile anachofanya Magufuli, sioni uwezekano wa yeye peke yake kuadhibiwa.
 
Back
Top Bottom