Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,438
Kwa wageni wa dsm hii ni kampuni inayotengeneza barabara ya Morogoro kwa ajili ya magari yaendayo kasi. Kwa mtazamo wangu kampuni hii imeonyesha udhaifu sana katika kufanya kazi, kiasi kuna wakati najiuliza iliwezaje kupata hii kazi jamani.
Fikiria, wamechimbachimba kwa ustadi mkubwa barabara toka kimara, ubungo, manzese hadi town center, sasa ishu ngumu ni kuijenga hiyo barabara! Wanajenga kwa mwendo wa konokono kiasi cha kuwapa shida sana watumiaji wa barabara.
Hapo Ubungo Stend ndo balaa tupu hakuna utaratibu mzuri haielewi hata gari zinapitaje,binafsi nimeshashuhudia kuna makampuni yanafanya kazi katika eneo finyu mfano unakuta barabara upande mmoja ina shimo/bonde upande mwingine kuna mlima lakini wajomba wanapiga kazi inaenda vema na magari yanapita vizuri lakini hawa jamaa wamepewa sehemu kubwa ya kufanyia kazi lakini bure kabisa!!!!
Fikiria, wamechimbachimba kwa ustadi mkubwa barabara toka kimara, ubungo, manzese hadi town center, sasa ishu ngumu ni kuijenga hiyo barabara! Wanajenga kwa mwendo wa konokono kiasi cha kuwapa shida sana watumiaji wa barabara.
Hapo Ubungo Stend ndo balaa tupu hakuna utaratibu mzuri haielewi hata gari zinapitaje,binafsi nimeshashuhudia kuna makampuni yanafanya kazi katika eneo finyu mfano unakuta barabara upande mmoja ina shimo/bonde upande mwingine kuna mlima lakini wajomba wanapiga kazi inaenda vema na magari yanapita vizuri lakini hawa jamaa wamepewa sehemu kubwa ya kufanyia kazi lakini bure kabisa!!!!
