Storytime: Usiuamini ushungi

Storytime: Usiuamini ushungi

Tabia ya mtu huwezi kuidefine na mavazi ya mtu, Ushungi ni vazi kama vazi jingine tu wala haizuii mihemko yao kama wanawake wengine, wapo waliotulia ,wapo washenzi sanaa na mishungi yao.
 
Usitake kuonekana gentleman ilhali wewe ni kauzu, kama ni kauzu aanza siku ya kwanza mnaonana na mwanamke. Kuna wanawake wanapenda wanaume makauzu na kuna wanawake wanapenda wanaume slow motion.

Mwanamke unakuja ghetto, halafu unatoka hivi hivi, weeeeeeee subutu. Kuingia ghetto ni jibu tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha nilikuwa kidato cha nne benjamini na manzi wangu yeye kidato cha tatu. kila nikiomba naambiwa nisubiri mpaka ndoa. Nilipozidi kumghasi akabadili msimamo, nikaambiwa mpaka afike kidato cha tano. Siku zote za kusubiria niliaminishwa kuwa yeye n bikra.

kumbe manzi kuna mchizi anampa anamega. Mbaya jamaa namfahamu na anajua uhusiano wangu na dogo. Alipomaliza form 4 nikaforce nikakuta holaaaaa.

Manzi analia na kuanza kunipanga kama mleta andiko alivyopangwa. Niliumia sana. Nilimpiga chini dogo siku ile ile. Aliomba sana msamaha.

Since that day sitaki tena swaga za kikorea. Kazi kazi tu
 
kuna dem mmoja nilimtongoza kitaa, kabla sijamla wakahama uo mtaa, basi nikamshawishi aje gettoh, akakubali akaja, siku anakuja alivyofika getini akanipigia nikamfungulie, naenda kufungua nakutana na dem kavaa kama ninja, full hijabu yamebaki macho tu, nikamkaribisha ndani ndo akavua ayo manguo, namuuliza kwann kavaa akaniambia alitaka watu wasimjue pale mtaani, nika note kua wanatumia ayo mavazi ndivyo sivyo waliawaaribia wale wengine wanao tumia kwa usahihi, ndo maana baadhi ya maeneo wanapiga marufuku ayo mavazi.
 
Nlipokuwa chuoni wale maninja wa mchana usiku walikuwa wanavaa vimini na suruali, kwenda club na bar....
Walijua wasipofanya hivo hawatapata bwana
kuna dem mmoja nilimtongoza kitaa, kabla sijamla wakahama uo mtaa, basi nikamshawishi aje gettoh, akakubali akaja, siku anakuja alivyofika getini akanipigia nikamfungulie, naenda kufungua nakutana na dem kavaa kama ninja, full hijabu yamebaki macho tu, nikamkaribisha ndani ndo akavua ayo manguo, namuuliza kwann kavaa akaniambia alitaka watu wasimjue pale mtaani, nika note kua wanatumia ayo mavazi ndivyo sivyo waliawaaribia wale wengine wanao tumia kwa usahihi, ndo maana baadhi ya maeneo wanapiga marufuku ayo mavazi.
 
citiezb,

Mkuu

Unafeli sana unapofanya eti tabia binafsi ya mwanadamu ni sawa na kipande cha nguo alichovaa kwenye mwili wake

Such a stupid comparison

Tabia ni coded set of living rules alizonazo mtu

Na ushungi ni well kipande cha nguo,a material substance,sio mtu!

Kama binadamu ni malaya,kipande cha nguo hakiwezi ingia kwenye conscious yake kubadili coded tenets za life yake...

Umalaya ni linked somehow na genetics,which is another whole shit of complex dimension

Au wewe ndio wale wanao weka “imani” sentiments kwenye vitu?

Geez
 
Wyatt Mathewson, Ukifuatilia,,sio tu ushungi ulioniaminisha
*hapendi hela
*hafuatilii miziki
*simu imejaa qaswida na mawaidha tu
*hana mitandao ya jamii
*ana sigda mpaka mikononi
*hapendi outing hata picha
Hivyo + ushungi na vingine vilinifanya niamini kuwa katulia na ni wife material
 
citiezb,
Pole kwa kisa hiki cha kusisimua.

Ila nawapenda sana ma ustadhati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom