Storytime: Usiuamini ushungi

Storytime: Usiuamini ushungi

Kuna Siri kubwa Sana juu ya wanawake wanaovaa ushungi mi yaliyonikutaga kipindi nasoma chuo nilikuwa na demu kishungi nikamuamini asilimia mia 200 ila cku niliyo hack watsup yake aisee ckuamini nilichokikuta hawa Ni mbwa Sana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Siri kubwa Sana juu ya wanawake wanaovaa ushungi mi yaliyonikutaga kipindi nasoma chuo nilikuwa na demu kishungi nikamuamini asilimia mia 200 ila cku niliyo hack watsup yake aisee ckuamini nilichokikuta hawa Ni mbwa Sana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah daah tupe stor mkuu
 
Mi ni Mkristo lakini huwa nawapenda sana sana hawa wavaa ushungi yaani sijui ni kwann!!! Tena nyeusi nazipenda sana. Na asilimia kubwa ya madem zangu ni hao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Me mwenyewe nlikuwa kam wewe...madem wakivaa hijab nawaona wakali...ila nlipowapata nkajua zinaficha mapungufu kibao
 
kuna dem mmoja nilimtongoza kitaa, kabla sijamla wakahama uo mtaa, basi nikamshawishi aje gettoh, akakubali akaja, siku anakuja alivyofika getini akanipigia nikamfungulie, naenda kufungua nakutana na dem kavaa kama ninja, full hijabu yamebaki macho tu, nikamkaribisha ndani ndo akavua ayo manguo, namuuliza kwann kavaa akaniambia alitaka watu wasimjue pale mtaani, nika note kua wanatumia ayo mavazi ndivyo sivyo waliawaaribia wale wengine wanao tumia kwa usahihi, ndo maana baadhi ya maeneo wanapiga marufuku ayo mavazi.
Siku moja baharia nikatangulia kuchukua chumba guest, kufika kwenye corridor akawa amekaa demu kavaa kininja ana wasiwasi mwingi nikamsalimia nikachukua room demu wangu aliingia sisi tukaendelea na yetu. Ndio nikagundua wengine wanaficha sura ili wafanye mambo ya sirini. Kama alinifahamu sijui maana asingeweza kunisemesha wote tulikuwa wezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure mzee hata Mimi Kuna mtoto juzi juzi kanidanganya yeye ni bikra Basi Ile namvuta ghetto siku ya kwanza kazingua eti Ana bleed nikawa mpole ,Mara ya pili kaja sikumwacha mtoto ni ustadhati kweli kweli Ila ziwa ndala na hana bikra yoyote akanidanganya Mimi ni boy wake wa pili kusex nae nami nikamwambia yeye ni demu wangu wa 5 kusex nae tangu nianze sex akaamini Ila angejua yeye siti yake ipo nyuma kabisa kwenye Ile dreamliner ,Dawa ya Moto ni Maji
 
Sure mzee hata Mimi Kuna mtoto juzi juzi kanidanganya yeye ni bikra Basi Ile namvuta ghetto siku ya kwanza kazingua eti Ana bleed nikawa mpole ,Mara ya pili kaja sikumwacha mtoto ni ustadhati kweli kweli Ila ziwa ndala na hana bikra yoyote akanidanganya Mimi ni boy wake wa pili kusex nae nami nikamwambia yeye ni demu wangu wa 5 kusex nae tangu nianze sex akaamini Ila angejua yeye siti yake ipo nyuma kabisa kwenye Ile dreamliner ,Dawa ya Moto ni Maji
[emoji23][emoji23] Mkuu na wewe utakuwa wa pili kutoka mwisho kwenye ile Airbus!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume bhana mademu wakiwa wanatuzingua kwa kuwa ns wanaume wengi. Tunawaweka chombo cha starehe. Mana Kuna demu nilimuweka wa kumla tu baada ya kuniletea ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom