Elvice Junior
Senior Member
- Jan 6, 2017
- 188
- 221
Rejea nilichomwambia huyu Jamaa kule juu!Hebu jisome hapa View attachment 573540hapa ndio umethibitishwa kujiunga JF(most likely multiple ID) View attachment 573543post yako ya kwanza unatafuta kazi (fresh from school) View attachment 573544post hii umeshinda pesa nyingi 101milion, na mshahara unao na mapato mengine ya kubet (ndoto za ma jobless wengi walio stranded, huku ukiwa na hamu ya kuendesha Allex (hujawahi kumiliki gari)
Post ya mwisho unatafuta chumbahapa muongo ni nani kati yangu mimi na wewe?![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ni ishara zote za kuliwa tigo mombasa, kuwa na matatizo ya akili kama si kufikiri, upeo mdogo wa kushadadia Forums (Yawezekana amezoea kufanya upuuzi Instagram na Facebook huko so anadhani na humu pako hivyo).
Naona anaota ubilionea kwa kutegemea kubeti.
DEAR MOMBASA, UMETUHARIBIA VIJANA WETU JAMANI, NAILILIA TANZANIA

