Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,520
- 830,054
Kutokana na story tulizokuwa tukisimuliwa udogoni kuhusiana na Mombasa kulinifanya niogope kabisa hilo eneo.... Tofauti na siku hizi ambapo dunia iko kiganjani miaka ile ya 70-80 upatikanaji wa habari haikuwa rahisi kama leo hii
Basi tulikuwa tukisimuliwa kuwa eti kule Mombasa epuka kabisa ofa! Yani kama wewe si mwenyeji utaona ni ukarimu wa kawaida lakini kumbe kuna tafsiri yake mbaya kabisa.... Nenda tu ushalipiwa ni sentence mbaya kabisa kwa wenyeji wa kule! Ama kunywa tu, kula tu, chukua tu ushalipiwa...
ukiuliza nanani utaonyeshwa barobaro moja lenye msuli na midevu! Macho kodo
Story zingine ni zile za kutegeshewa chombo ujisaidie kubwa ili waichinguze bila wewe mwenyewe kujua.... Eti wanaangalia kama UMESHATUMIKA ama bado ni new brand!
story nyingine ni zile za kupewa chakula ambacho kitasababisha tumbo lijae gesi na kusababisha kutoa gesi ukaa kwa sauti... Basi wao hutega ukutani chini ya dirisha wakisikilizia tune itakayotoka hapo

Hakika hizi story na nyingine nyingi zilinifanya niogope MNO kwenda Mombasa
Baadae kabisa ukubwani nilikuja kujua kumbe nyingi zilikuwa ni story tu kama zilivyo story nyingi za pwani za mwembe basha, mrembo mwenye miguu ya mnyama nknk.....!!!!
Nilikuja kwenda Mombasa mwaka 1998 lakini nikiwa nimejiandaa hasa kwa lolote!
Nimekumbuka hizi habari za Mombasa baada ya kusoma humu JF kuwa Kiba kapewa Range rover, nyumba na billion kadha baada ya show yake marekani.... Aliyempa ni meya wa jiji la Mombasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi tulikuwa tukisimuliwa kuwa eti kule Mombasa epuka kabisa ofa! Yani kama wewe si mwenyeji utaona ni ukarimu wa kawaida lakini kumbe kuna tafsiri yake mbaya kabisa.... Nenda tu ushalipiwa ni sentence mbaya kabisa kwa wenyeji wa kule! Ama kunywa tu, kula tu, chukua tu ushalipiwa...
ukiuliza nanani utaonyeshwa barobaro moja lenye msuli na midevu! Macho kodo Story zingine ni zile za kutegeshewa chombo ujisaidie kubwa ili waichinguze bila wewe mwenyewe kujua.... Eti wanaangalia kama UMESHATUMIKA ama bado ni new brand!
story nyingine ni zile za kupewa chakula ambacho kitasababisha tumbo lijae gesi na kusababisha kutoa gesi ukaa kwa sauti... Basi wao hutega ukutani chini ya dirisha wakisikilizia tune itakayotoka hapo

Hakika hizi story na nyingine nyingi zilinifanya niogope MNO kwenda Mombasa
Baadae kabisa ukubwani nilikuja kujua kumbe nyingi zilikuwa ni story tu kama zilivyo story nyingi za pwani za mwembe basha, mrembo mwenye miguu ya mnyama nknk.....!!!!
Nilikuja kwenda Mombasa mwaka 1998 lakini nikiwa nimejiandaa hasa kwa lolote!
Nimekumbuka hizi habari za Mombasa baada ya kusoma humu JF kuwa Kiba kapewa Range rover, nyumba na billion kadha baada ya show yake marekani.... Aliyempa ni meya wa jiji la Mombasa
Sent using Jamii Forums mobile app