Story za kusadikika za Mombasa

Story za kusadikika za Mombasa

Kuna watu wanainama mno hasa wanapokuwa wanaupimia mpira mweusi kuungiza kwenye shimo wanapochezA pool mombasa piga mpira kwa style yeyote lakini usiiname vinginevyo utakuta majitu yanamadevu yanapigana yakubambie
 
Msambaa alienda mombasa kuuza mapeas. Akatahadhalishwa ajichunge maana anaweza kuliwa kama akiwa mpole.

basi kila wakija kuulizia mapeas bei gani, msambaa anajibu...pale hamsini, na pale mia
wakiuliza nipe nyuma ya hapo....msambaa anahamaki na kutoa mkwara...nyuma hafi.r.wi mtu asee nitamtoa mtu roho na kisu asee

mara likaja baunsa basi msambaa akajua hapa nafi.r.wa na kisu changu...hee kufika baunsa likabana pua...mapeas bei gani

msambaa akabeba mizigo yake na kurudi Tanga akijisemea...kama baunsa katafunwa basi mimi siko salama

MOMBASAAAAA


*You get what you work for not What you wish for*
 
Baba aliwahi kunisimulia vituko vya Mombasa, alisema ya vituko vya huko kulikuwa na nighr club moja yaani ukifika kwenye geti kuingia ndani unavua nguo zote, ukifika ndani ni madem wa kumwaga, mashine yako na efficiency yake tu tu kutongoza yaani ni kushika mkono tu

Sent from Kingston Jamaica
 
Baba aliwahi kunisimulia vituko vya Mombasa, alisema ya vituko vya huko kulikuwa na nighr club moja yaani ukifika kwenye geti kuingia ndani unavua nguo zote, ukifika ndani ni madem wa kumwaga, mashine yako na efficiency yake tu


Na wewe ukaamini....
Wabongo sijui mna akili gani tu... Kama mapunguani vile
Yaani unakaa unachekelea story zinaitwa "za kusaidikika"
 
Na wewe ukaamini....
Wabongo sijui mna akili gani tu... Kama mapunguani vile
Yaani unakaa unachekelea story zinaitwa "za kusaidikika"
Pambana na hali yako mkuu, baba alisomea Kenya, then ni Mwenyeji wa Lamu so anaijua mombasa nje ndani na hiyo sio miaka hii bali ilijuwa miaka ya btn 54 - 64 huko,

Sent from Kingston Jamaica
 
Kawadanganye shemeji zako kijijini....
Hebu jisome hapa View attachment 573540hapa ndio umethibitishwa kujiunga JF(most likely multiple ID)
Screenshot_20170823-214138.png
post yako ya kwanza unatafuta kazi (fresh from school)
Screenshot_20170823-214215.png
post hii umeshinda pesa nyingi 101milion, na mshahara unao na mapato mengine ya kubet (ndoto za ma jobless wengi walio stranded, huku ukiwa na hamu ya kuendesha Allex (hujawahi kumiliki gari)
Post ya mwisho unatafuta chumba
4dc42235aa51413da2786178e8af9c5e.jpg
hapa muongo ni nani kati yangu mimi na wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu jisome hapa View attachment 573540hapa ndio umethibitishwa kujiunga JF(most likely multiple ID) View attachment 573543post yako ya kwanza unatafuta kazi (fresh from school) View attachment 573544post hii umeshinda pesa nyingi 101milion, na mshahara unao na mapato mengine ya kubet (ndoto za ma jobless wengi walio stranded, huku ukiwa na hamu ya kuendesha Allex (hujawahi kumiliki gari)
Post ya mwisho unatafuta chumba
4dc42235aa51413da2786178e8af9c5e.jpg
hapa muongo ni nani kati yangu mimi na wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana huyo Dogo inaonekana alishawahi kuliwa na watu wa Mombasa ndo maana akili zake za kizwazwa watoto wa chekechea wana matatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pete imenitoka
Mara imeponyoka
Pete eeh pete
Naisifu pete
Enyi malimwengu
Mufahamu matunzo
Si kama yoyote yangu pete
Pete eeh pete
Yali kidoleni
Mara siioni hakika
Nalia jamani kwa yaliyo nifika
Yangu pete
Pete kama hiyo
Kupata ni tabu
Siyo mjuavyo dhahabu
Lulu nayo siyo
Yangu pete imenitoka.
 
Pana kijana mmoja kaibukia penye umende (ubasha )akawa na kasi sana akijaribu kushindana na mkongwe mmoja katika fani hiyo basi kila akipata shoga na kulishughulikia alikuwa anachukua kinyesi na kwenda kumpa mkongwe anuse basi lile zee likinusa tu linamwambia basha kijana huyu shoga wa sehemu fulani na huyu wa mahala fulani ikimaanisha kuwa mzee ameisha washughulikia so ana fahamu harufu zao. ikawa hivyo basha kijana akaona kweli bado ni mchanga penye fani basi siku hiyo akampelekea kinyesi
chake mwenyewe akamuuliza huyu shoga wa wapi? Mzee kila akinusa harufu haiji kila akiisikilizia haipati ikabidi amwambie kijana huyu sijawahi kushughulikia tena anaonekana ni bikra kijana akawaka kinyesi changu hicho acha mambo yako.
 
Hebu jisome hapa View attachment 573540hapa ndio umethibitishwa kujiunga JF(most likely multiple ID) View attachment 573543post yako ya kwanza unatafuta kazi (fresh from school) View attachment 573544post hii umeshinda pesa nyingi 101milion, na mshahara unao na mapato mengine ya kubet (ndoto za ma jobless wengi walio stranded, huku ukiwa na hamu ya kuendesha Allex (hujawahi kumiliki gari)
Post ya mwisho unatafuta chumba
4dc42235aa51413da2786178e8af9c5e.jpg
hapa muongo ni nani kati yangu mimi na wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naona unamsasambua

Sent from Kingston Jamaica
 
Pana kijana mmoja kaibukia penye umende (ubasha )akawa na kasi sana akijaribu kushindana na mkongwe mmoja katika fani hiyo basi kila akipata shoga na kulishughulikia alikuwa anachukua kinyesi na kwenda kumpa mkongwe anuse basi lile zee likinusa tu linamwambia basha kijana huyu shoga wa sehemu fulani na huyu wa mahala fulani ikimaanisha kuwa mzee ameisha washughulikia so ana fahamu harufu zao. ikawa hivyo basha kijana akaona kweli bado ni mchanga penye fani basi siku hiyo akampelekea kinyesi
chake mwenyewe akamuuliza huyu shoga wa wapi? Mzee kila akinusa harufu haiji kila akiisikilizia haipati ikabidi amwambie kijana huyu sijawahi kushughulikia tena anaonekana ni bikra kijana akawaka kinyesi changu hicho acha mambo yako.


Sent from Kingston Jamaica
 

Huyo jamaa ana frustrations za maisha
Kajiunga April 2017
Post ya kwanza akawa anatafuta kazi
Post ya pili may akawa eti kashinda kubeti million 101, na wakati huo huo mshahara umetoka na upuuzi mwingine mwingi tu
Post ya tatu July anatafuta chumba cha kupanga sio maeneo ya mwenge
Hebu tafuta uhalisia hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa namfatilia sana Blaise Pascal, kuna sehemu aliwahi sema " SMALL MIND ARE CONCERNED WITH EXTRAORDINARY WHILE GREAT ONE WITH AN ORDINARY ".

Huyo jamaa anaonyesha kabisa ni kwa namna gani alivyo mfinyu wa fikra(Labda aliwahi lipiwa bill Mombasa)...
All in all akumbuke kuwa mtu mzima siyo mavuzi na ndevu halafu pia dunia ni ndogo tukiungana kiutu uzima.
 
Back
Top Bottom