george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,302
- 2,031
Hatari sana kwa hiyo pete yenyewe ni mambo flan yale MombasaHahahahahahaaa namkimbuka mtu mmoja anaitwa juma bhalo aliimba yangu pete imenitoka aliimba kama analia alikua analilia peteisiyo ya dhahabu wala almasi lakini pete huyu mshenz aliwatisha sama mabarobaro wa dar na maeneo mengine kuiendea mombasa maana waliogopa story ambayo nahis pia ilitungwa ambayo ipo nyuma ya huu wimbo pete (kautafute uusikilize vizuri) inasemekana issa matona alienda mombasa kutokea zenj maana haya ni maeneo ya karib issa hakua mkali sana wa taarab enz za akina bhalo alionekana ni kama muimba kadumbak na disco chakacha bas alipojitambulisha anakuja kufanya onyesho la taarab mombasa juma akamfanyia huu mchezo kila alipoenda kula akipanda daladala mpaka alipoenda kulala akawa anaambiwa ushalipiwa wewe akitoa hela watu hawataki wansema tunepokea mara mbili yake issa akaogopa akasubiri bot ya usiku akarud zanzibar hapo akaimba nyimbo isemayo babu jinga inama ufikiri mali yako inaliwa akimwambia bhalo bhalo nae ndio akaimba wimbo wa pete
huku akilia akimaanisha aliikua anaililia pete ya matona
Sent using Jamii Forums mobile app
mzee akaona isiwe kesi ngoja nirudi wasinitatue marinda. Duuuuh hii kali aisee.
Hahahahahahaaa namkimbuka mtu mmoja anaitwa juma bhalo aliimba yangu pete imenitoka aliimba kama analia alikua analilia peteisiyo ya dhahabu wala almasi lakini pete huyu mshenz aliwatisha sama mabarobaro wa dar na maeneo mengine kuiendea mombasa maana waliogopa story ambayo nahis pia ilitungwa ambayo ipo nyuma ya huu wimbo pete (kautafute uusikilize vizuri) inasemekana issa matona alienda mombasa kutokea zenj maana haya ni maeneo ya karib issa hakua mkali sana wa taarab enz za akina bhalo alionekana ni kama muimba kadumbak na disco chakacha bas alipojitambulisha anakuja kufanya onyesho la taarab mombasa juma akamfanyia huu mchezo kila alipoenda kula akipanda daladala mpaka alipoenda kulala akawa anaambiwa ushalipiwa wewe akitoa hela watu hawataki wansema tunepokea mara mbili yake issa akaogopa akasubiri bot ya usiku akarud zanzibar hapo akaimba nyimbo isemayo babu jinga inama ufikiri mali yako inaliwa akimwambia bhalo bhalo nae ndio akaimba wimbo wa pete
huku akilia akimaanisha aliikua anaililia pete ya matona
Sent using Jamii Forums mobile app
watu wa wazamani walikuwa wahuni sana halafu uhuni wao ulijificha kwenye mafumbo, kiasi kwamba ilikuwa ni vigumu watoto kuelewa
Hahaha nakumbuka walisema Mombasa sehemu salama ya kufunga kamba za viatu ni chumbani kwako pekee, tena ukiwa mwenyewe na umetia lock milango yote.
Range Rover na bilioni kadhaa???!!Huyo meya ana kipato gani aseee?Kipi kimemfurahisha kwa kiba hadi ampe zawadi nono kiasi hicho???!!Acha tu ziendelee kuwa hadithi za kusadikika
Hahahha ashakum si matusii umenivunja mbavu kwa kichekooo hahahahMsambaa alienda mombasa kuuza mapeas. Akatahadhalishwa ajichunge maana anaweza kuliwa kama akiwa mpole.
basi kila wakija kuulizia mapeas bei gani, msambaa anajibu...pale hamsini, na pale mia
wakiuliza nipe nyuma ya hapo....msambaa anahamaki na kutoa mkwara...nyuma hafi.r.wi mtu asee nitamtoa mtu roho na kisu asee
mara likaja baunsa basi msambaa akajua hapa nafi.r.wa na kisu changu...hee kufika baunsa likabana pua...mapeas bei gani
msambaa akabeba mizigo yake na kurudi Tanga akijisemea...kama baunsa katafunwa basi mimi siko salama
MOMBASAAAAA
Hahahahahaaaaa kawaida hawa wazee walizidi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
watu wa wazamani walikuwa wahuni sana halafu uhuni wao ulijificha kwenye mafumbo, kiasi kwamba ilikuwa ni vigumu watoto kuelewa
Umenikumbusha ule usemi usemao Mombasa makalio mali kidole Benz (kwa sauti ya pwani)
Sent using Jamii Forums mobile app
bowlibo weeeMsambaa alienda mombasa kuuza mapeas. Akatahadhalishwa ajichunge maana anaweza kuliwa kama akiwa mpole.
basi kila wakija kuulizia mapeas bei gani, msambaa anajibu...pale hamsini, na pale mia
wakiuliza nipe nyuma ya hapo....msambaa anahamaki na kutoa mkwara...nyuma hafi.r.wi mtu asee nitamtoa mtu roho na kisu asee
mara likaja baunsa basi msambaa akajua hapa nafi.r.wa na kisu changu...hee kufika baunsa likabana pua...mapeas bei gani
msambaa akabeba mizigo yake na kurudi Tanga akijisemea...kama baunsa katafunwa basi mimi siko salama
MOMBASAAAAA
Mombasa hata pool table inachezwa bila kuinama.Meza ya pool iko usawa wa kifua
In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
He he
Namshukuru Mungu Naendelea vizuri