Story: Mahusiano

Story: Mahusiano

Wewe ni mlokole faki kama Pastor Patrick...

Unapokea peaa huku na huku...

Umemuunganishia tela Patrick kwa Anita na Subira... wakati wewe mwenyewe unataka pia...


Cc: mahondaw
Hahahahaha nahivi wametoka mbali sijui Yani... Wacha tusubiri yatayojiri
 
aisee hebu weka link ya hyo website yako tukajionee uhondo pliiz
 
Hahahahaha... Finally nimemaliza... Sasa tutaenda sambamba.... dadalake don't forget to tag us as usual... Ila mi pia nimepata doubt peny kudondokea kwa papaa sio kwa bumbuwazi Ile naivi keshaambiwa papaa ana mtwangio heheheeeeee.......mitwangio haitamuacha mtu salama akiii Let's wait


Cc Smart911
 
Hahahahaha... Finally nimemaliza... Sasa tutaenda sambamba.... dadalake don't forget to tag us as usual... Ila mi pia nimepata doubt peny kudondokea kwa papaa sio kwa bumbuwazi Ile naivi keshaambiwa papaa ana mtwangio heheheeeeee....... Let's wait


Cc Smart911
Toka mwanzo nilishamwambia hana ulokole wowote...

Na kawasukumia hotelini ili nae aende...
 
HAHAHAHA UUUWI WE NGOJA TU me thithemi
hahahaha pastor handsome alafu anadyudyu laaja chezea pastor nini lazima ukae nabado unakadi yake yaATM naamekwambia hiyo nimoja2 ila anazo kadi zabenk nyingine mbili lazima udenda utoke nausiseme ukanimalizia uhondo wakesho
 
Hii story yako Pastor Papa, Aloice, Anita, huyo Mvuta Bangi....naona itaishia pabaya.

Mchungaji wa Kweli huwa hatafutiwi mke au mchumba....anamwomba Mungu mwenyewe na akipata majibu anamwendea mwenyewe bila kuwa na mtu katikati.

.....nita comment story yako ikikamilika.
 
Mmmm lazima Papaa akuibukie R chuga huko.. Atawakuta na wajina wako atawaramba nyote hotelini.... Ila tangu story ianze sijaona Mahali Money Penny ameuchezea.... Labda safari hiii itakuwa table for 3 na Papaa muchungaji fekero...
 
Back
Top Bottom