Story: Mahusiano

Story: Mahusiano

Doh me sitombwi ovyo jamaa
Nipo kama bikra ukinisungura ukachoka ndio unanipata
Mbona sasa uliduwaa na ukapatwa na ganzi...

Subira alivyokua anakusimilia 3sum waliyofanya...

Kwa maana yake ulikua una imagine na kutamani...

Hakuna mkate mgumu mbele ya chai...


Cc: mahondaw
 
Doh me sitombwi ovyo jamaa
Nipo kama bikra ukinisungura ukachoka ndio unanipata
Mama la mama weee thubutuuu!!! kwanza ukiona mwanamke kazubaa nahisi huchelewi kumfikisha acha ufalasi mwanamke fanya hivi fanya vile changamkaa wee mwanamke gani bana hahaha huchelewi wewe
 
Hahahaha
Yani naona hii hadithi umeisoma mwishoni na sio mwanzoni

Embu kaanze page 1 use mpaka page 5

Kuna lugha nilikuwa naziongea kwa Pastor Papaa nadhani hukuzielewa nilishakua ndio mana nikamweka Subira

We Subira hii hadithi nataka niiuze au nitengenezee movie kabisa Yani Days of our lives itasubiri kwa hii hadithi

Scandal watakuja kusoma twishen kwa penny we ngoja nitakavyobadili upepo angan
Nimesoma kila kitu...

Hapa na summarise tuu...

Walokole si watu wazuri kabisa...

Haswa awe mlokole alafu awe na dimples...


Cc: mahondaw
 
Subira nimemuelewa ni mcharuko...

Anita sasa mbona kafanya mambo ya kijinga sana... mbona kawa mwepesi hivyo... mara hii 3sum tayari...

Kinachofuata hapo ni Money Penny na Patrick...

Hotelini wende kufanya sasa wakati washamalizana...


Cc: mahondaw
Lol net imeniharibia mpaka nimesahau nilipoishia.. Ngoja nimalizie story kwanza ukute Anita wawatu keshauzwa mi Sina habari...
 
Lol net imeniharibia mpaka nimesahau nilipoishia.. Ngoja nimalizie story kwanza ukute Anita wawatu keshauzwa mi Sina habari...
Anita kagoma kutoka kwa Pastor kisa kamkuta subira anamteha Pastor...

So kilichotokea hapo ni 3sum...
 
Anita kagoma kutoka kwa Pastor kisa kamkuta subira anamteha Pastor...

So kilichotokea hapo ni 3sum...
Lol ndo mambo yalivo kumbe!!!??? Pastor nae havumi ila yuko!???? Penny amekosakosa group sex kweli??
 
Back
Top Bottom