Story: Mahusiano

Story: Mahusiano

Nibadilike?????? Thubutuuuuuuuuu labda sio kwa Smart911.. Vile nampenda huyu mwanaume wee acha tu. Kwa smart papa akasome tena awali.... Smart ninambaaaaaaaaa ledada mwenyewe ashamuelewa Kitambooo aliomba walau 3sum nani akubali sasa???

Nikajiuliza Baby mahondaw angejibuje tofauti na hivi, sikupata jawabu! Nishaujua mwelekeo. Nimefurahi 🙂. I've never been happy like this before. Watakaonuna wanune tu 😉

c.c. Honey Money Penny Smart911
 
Nikajiuliza Baby mahondaw angejibuje tofauti na hivi, sikupata jawabu! Nishaujua mwelekeo. Nimefurahi 🙂. I've never been happy like this before. Watakaonuna wanune tu 😉

c.c. Honey Money Penny Smart911


Hahahahaha wewe na Money Penny wako hii mission failed.. nimewakushtukia ukute ashakukatia mkwanja huyu doh ndomana papaa kasema anafuja fuja hela kumbe .. hio baby vepee??



cc Smart911
 
Hahahahaha wewe na Money Penny wako hii mission failed.. nimewakushtukia ukute ashakukatia mkwanja huyu doh ndomana papaa kasema anafuja fuja hela kumbe .. hio baby vepee??



cc Smart911



Mara paaap, tamko rasmi kutoka kwa Baby mahondaw kuunga mkono juhudi za Honey Money Penny kwa 50thebe.

[HASHTAG]#MapichaPichaHayajawahiKumuachaMtuSalama[/HASHTAG]. 😎

c.c. Smart911
 
Mara paaap, tamko rasmi kutoka kwa Baby mahondaw kuunga mkono juhudi za Honey Money Penny kwa 50thebe.

[HASHTAG]#MapichaPichaHayajawahiKumuachaMtuSalama[/HASHTAG]. 😎

c.c. Smart911
Khakha mi babe ake na Smart911 bana Penny mwenyewe analijua hilo.. ....
Wewe baki na bigmama lako tu likulee hakuna namna uzuri papaa atawahudumia aaaaaaaaaaaa utakua unateleza tu ila Money Penny njoo peleka Ben ten wako hukuu
 
Hahaha me staki tena bwana jf kumbe we yanki a.k.a Ben 10
Aku staki mambo ya zari na mondi
Ua jeusi vepe

Honey Money Penny

Hizi shutuma za Baby'ake Smart911 ustaadha almaarufu wa simulizi Bi mahondaw nazifanyia kazi kwa karibu sana.

Kwanza Bi mahondaw amepata wapi habari kwamba 50thebe ni yanki aka Ben 10?. Kwamba Honey Money Penny ni "bigmama"; kwamba nibaki na "bigmama" langu linilee! 😵. Kwamba papaa "atahudumia"!. Nimeshtushwa na intelligensia ya Baby'ake Smart911 Bi mahondaw. Maana hili ni kama jiwe lililorushwa gizani hivi!.

Pili,


dshlafhl;fga;jjlkvcnslkkj;df'BV'D "I am at risk"....nipo hatarini kutekwa muda wowote kuanzia sasa!


c.c Miss Natafuta
 
Back
Top Bottom